LGE2024 Tanzania tuna Vijiji 12,864 Mitaa 4,264 (Jumla ni LGAs 16,544)

LGE2024 Tanzania tuna Vijiji 12,864 Mitaa 4,264 (Jumla ni LGAs 16,544)

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mimi nawashangaa upinzani kushiriki huu ujinga halafu baadae waanze kulaumu kwenye vyombo vya habari.
Umehongwa , uchaguzi na kilicho siri nje ya uchaguzi kinajulika , maccm walitaka fanya chama flani kuwa chama kikuu cha upinzani kupitia vibaraka wao wachache ndani ya chama husika
 
Asante
Mnafanya makosa sana kutotaka kuambiwa ukweli
  • Baada ya 27/11 hope tutarudia kusemezana
  • Wajukuu zangu nanyi wanangu hope mnajitia upofu tu kuhusu kazi nzuri za CCM
  • Siasa na utashi wa madaraka vimewapofusha sana
Ww ni mgonjwa mahututi uko ICU na huelewi rafu za uchaguzi zinazoendelea,kumbe hata tukiendelea kuzungumza na ww tunapoteza muda tu.
 
CDM, ACT, Nccr, CUF sasa mmejelewa?
* Skuandka haya sbb n mwanannm
 
Back
Top Bottom