TANZANIA tuna wachezaji wazuri ,tatizo maslahi

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Asee nimeamini mkono mtupu haulambwi , tumeona wachezaji wa Simba wakitangaziwa donge nono baada ya kufanya vizuri dhidi ya As Vita , pamoja na kweli As Vita ni timu kubwa vijana wakajituma wakaibuka Na ushindi , Leo hii Taifa stars nao najua wametangaziwa kitita, nadhani mnaona wenyewe kinachotokea uwanjani kati ya Taifa stars Na Uganda the cranes...

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ongezea uhamasishaji wa mashabiki

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Money talk! Taifa Stars oyeee! Amunike je, safiii!! Kwa hiki kikosi ulichokipanga, sina comment. Kwenye ubashiri wangu kabla ya mechi, nilikosea kwa Farid Musa tu badala yake nikampanga Thomas Ulimwengu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…