chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Asee nimeamini mkono mtupu haulambwi , tumeona wachezaji wa Simba wakitangaziwa donge nono baada ya kufanya vizuri dhidi ya As Vita , pamoja na kweli As Vita ni timu kubwa vijana wakajituma wakaibuka Na ushindi , Leo hii Taifa stars nao najua wametangaziwa kitita, nadhani mnaona wenyewe kinachotokea uwanjani kati ya Taifa stars Na Uganda the cranes...
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent from my iPhone using Tapatalk