Tanzania tuna watu vichwa sana, sasa tunakwama wapi kuwatumia?

Tanzania tuna watu vichwa sana, sasa tunakwama wapi kuwatumia?

ishenga

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
165
Reaction score
188
Habari wadau kuna clip ya jamaa alikuwa kwenye kikao tume ya mipango amemwaga nondo, Kitila Mkumbo anabaki akitikisa kichwa. Tunakwama wapi kuwatumia hawa?
 
Pascal Mayala ni kichwa sana, umesikia Maswali anayomuuliza Lisu? Ukishajua kwa nini pascal yupo hivyo, utaelewa nachosema
 
Wenye uwezo wote katika Tz wanachukiwa ma kupigwa majungu na kukandamizwa wasichomoze kwa kufukuzwa kazi hata kuuwawa.

WaTz walishalaaniwa kwa hili
 
Habari wadau kuna clip ya jamaaaa alikuwa kwenye kikao tume ya mipango amemwaga nondo kitilia mkumbo anabaki akitikisa kichwa tunakwama wap kuwatumia hawa
Tanzania ukiwa kichwa wewe ni tishio.

Ukiwa sio mtu wa kumsifia mama jua huendi mahali.
 
Vichwa wangap wameshik madarak wakageuk walafi na chawa "wengine Majin unayo", kila mtu ni kichw akiwa anatafut nafasi. "Ni ushaur tu🗣️ "
 
Back
Top Bottom