Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni 7b mkuu. Wamezoea mambo yao ya Dar kupita popote wanapotaka.Walipe tu kama issue ipo kisheria na balozi wanalijua hilo. Or wafunge balozi japo deni halikimbiwi
Fedha ipi? Watalala giza na baridi bila heating.Fedha wanayotumiwa kwa ajili ya uendeshaji ofisi na matumizi kwa nini hawalipi madeni?
Hii ni kwa malipo ya "congestion charge" hili ni tozo inayobidi ulipe unapotumia gari baadhi ya maeneo London, so haya ni magari ya ubalozi wa TZ London yemekusanya hizi fees tangu 2003 ambazo hatujazilipa.
View attachment 2995641
Halafu mwakani Serikali yao itoe msaada wa GBP 500,000 kwa ajili ya bajeti yenu na ndugu Nchemba aende Bungeni kushukuru Uingereza.Hii ni kwa malipo ya "congestion charge" hili ni tozo inayobidi ulipe unapotumia gari baadhi ya maeneo London, so haya ni magari ya ubalozi wa TZ London yemekusanya hizi fees tangu 2003 ambazo hatujazilipa.
View attachment 2995641
Mkikubali USHOGA, bas wanafuta madeni yote na wanawaa mikopo mingine buree isiyo na riba.Tusubiri msamaha...wazungu huwa wanasamehe madeni
Fresh kama uchawa tumekubali iweje ushoga...mtu akiamua kuliwa aliwe tuMkikubali USHOGA, bas wanafuta madeni yote na wanawaa mikopo mingine buree isiyo na riba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]