Tanzania tunaenda wapi? Tunahitaji wazee wa busara waoga au vijana ambao hawaeleweki?

Tanzania tunaenda wapi? Tunahitaji wazee wa busara waoga au vijana ambao hawaeleweki?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania tuko njia panda kwa kweli. Tuna vijana ambao wamekulia kwenye uchawa na wanajali uongozi tu na wazee ambao hata kama wanajua na wana busara wanaogopa mawe ya CCM. Upinzani tuna vijana machachari ambao wapo tayari kwa lolote, kuna wanaopenda uboss na madaraka na wengine wamenunuliwa. Je tunaenda wapi? Wakuwapi wazee kama Warioba tupate katiba nzuri.

1716235596549.png
1716235613341.png
1716235629597.png


Wazee wanajua lakini waoga

1716235661644.png
1716235678527.png


Wapinzani machachari
1716235713059.png
1716235739428.png
1716235757996.png
1716235779641.png


wanaopenda uboss

1716235837545.png




1716235925207.png
1716236026961.png
 

Attachments

  • 1716235954980.png
    1716235954980.png
    84.7 KB · Views: 5
  • 1716235972374.png
    1716235972374.png
    96.5 KB · Views: 4
Kayanda yupo kimya...
Butiku yupo kimya...
Sinde yupo kimya...
Sumaye yupo kimya....
Msekwa yupo kimya...
Yule mzee aliekua mbabe wa bunda mwenye sura kama kifaru yupo kimya...
 
Kayanda yupo kimya...
Butiku yupo kimya...
Sinde yupo kimya...
Sumaye yupo kimya....
Msekwa yupo kimya...
Yule mzee aliekua mbabe wa bunda mwenye sura kama kifaru yupo kimya...
tayari wamemaliza sehemu yao ya uongozi wakiwa kwenye nafasi mbalimbali, na kwakweli wana imani kubwa mno na vijana hasa wa CCM walioshika hatamu, wameridhika mambo yanakwenda vizuri, nchi imetulia Taifa linakua na kuimarika kila uchwao 🐒
 
Back
Top Bottom