Tanzania tunaenda wapi? Tunahitaji wazee wa busara waoga au vijana ambao hawaeleweki?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania tuko njia panda kwa kweli. Tuna vijana ambao wamekulia kwenye uchawa na wanajali uongozi tu na wazee ambao hata kama wanajua na wana busara wanaogopa mawe ya CCM. Upinzani tuna vijana machachari ambao wapo tayari kwa lolote, kuna wanaopenda uboss na madaraka na wengine wamenunuliwa. Je tunaenda wapi? Wakuwapi wazee kama Warioba tupate katiba nzuri.



Wazee wanajua lakini waoga



Wapinzani machachari


wanaopenda uboss





 

Attachments

  • 1716235954980.png
    84.7 KB · Views: 5
  • 1716235972374.png
    96.5 KB · Views: 4
Kayanda yupo kimya...
Butiku yupo kimya...
Sinde yupo kimya...
Sumaye yupo kimya....
Msekwa yupo kimya...
Yule mzee aliekua mbabe wa bunda mwenye sura kama kifaru yupo kimya...
 
Kayanda yupo kimya...
Butiku yupo kimya...
Sinde yupo kimya...
Sumaye yupo kimya....
Msekwa yupo kimya...
Yule mzee aliekua mbabe wa bunda mwenye sura kama kifaru yupo kimya...
tayari wamemaliza sehemu yao ya uongozi wakiwa kwenye nafasi mbalimbali, na kwakweli wana imani kubwa mno na vijana hasa wa CCM walioshika hatamu, wameridhika mambo yanakwenda vizuri, nchi imetulia Taifa linakua na kuimarika kila uchwao 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…