Tanzania tunahitaji Jaji Mkuu mpya kutokana na yanayoendelea kwenye Mhimili wa Mahakama?

Tanzania tunahitaji Jaji Mkuu mpya kutokana na yanayoendelea kwenye Mhimili wa Mahakama?

Haya yote yamesababishwa na Jiwe na sasa huyu anapita humo humo, maelekezo yote ni wazi yanatoka kwa Dola na mcheza sinema wetu anayajua haya vizuri sana.
 
Jaji mkuu anayetokana na mfumo ana sifa zipi?... Kumbuka Prof.Juma alihudumu kama naibu wa hiyo nafasi karibu miezi 6 kabla ya kuapishwa rasmi.

Huu muhimili Uhuru wake upo kwenye karatasi tu ila kiuhalisia hauna Uhuru wowote.
JokaKuu Pascal Mayalla Nguruvi3
Bulesi Yoda

Hata ukimtazama tu huyo jaji mkuu unaona kabisa ni mtu wa ndio mzee, na ana utii wa kizubavu. Yaani wanasiasa wa ccm hawapati tabu kupeleka siasa zao chafu zikatakatishiwe humo. Na yeye hataki kuwaudhi wanaomlipa, anatii chochote watakacho.
 
Hata ingekuwa wewe ,unasema tu Sababu uko nje ya huo mhimili,hata aje Nani lazima afate maelekezo

Ni kweli ila sio kifala kwa kiwango hicho. Labda kama alikotoka kuna umasikini sana, hivyo anaogopa akikosa hicho cheo atabaki na umasikini wa kutupwa.
 
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.

Majaji wakuu waliopita walikuwa na uzoefu na hawakuruhusu mahakama kuwa sehemu ya kufichia maovu ya kisiasa. Mahakama kuu kwa ucheleweshaji wa makusudi wa kesi nyingi hasa za kisiasa badala ya kusaidia kutoa haki wamekuwa wanatumika kukandamiza haki. Yanni nina kesi bado za wabunge wa 2010-2015 hazijasikilizwa mfano rufaa ya Lissu ya kufukuzwa ubunge! tujiulize kwanini? Kuna kitu gani hasa cha kufanya kesi kama hizi za Covid 19 zitachukuwa miaka yote mpaka 2025! ? Sasa hii inaonyesha picha gani kwa wananchi kuhusu mahakama?. Tatizo ni viongozi wa hii mahakama
Tanzania inahitaji CJ mpya,Rais mpya,VP mpya, PM mpya, Spika mpya, Bunge jipya.
Kwa ujumla Tanzania inahitaji upya mpaka kwetu sisi raia wa kawaida.
Tanzania mpya inahitajika.
 
Huyo huyo wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa CCM? Hata angeteuliwa nani!
 
Tulipo mkosa Jaji Benard Luanda nikajua mfumo wetu wa kuamini watu wa kusimamia haki kwa hakika ni sanaa tu.

Toka kipindi cha Jakaya, huyu Jaji alikuwa anakwepwa kama ukoma.

Ni vile hakuwa mtu wa kupindisha pindisha mambo.

Ukipewa dhamana itendee vema hata kama watakubadirisha ndani ya siku. Jamii itakukumbuka.
 
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.

Majaji wakuu waliopita walikuwa na uzoefu na hawakuruhusu mahakama kuwa sehemu ya kufichia maovu ya kisiasa. Mahakama kuu kwa ucheleweshaji wa makusudi wa kesi nyingi hasa za kisiasa badala ya kusaidia kutoa haki wamekuwa wanatumika kukandamiza haki. Yanni nina kesi bado za wabunge wa 2010-2015 hazijasikilizwa mfano rufaa ya Lissu ya kufukuzwa ubunge! tujiulize kwanini? Kuna kitu gani hasa cha kufanya kesi kama hizi za Covid 19 zitachukuwa miaka yote mpaka 2025! ? Sasa hii inaonyesha picha gani kwa wananchi kuhusu mahakama?. Tatizo ni viongozi wa hii mahakama
Bogus professor, the so called Chief Justice. Viatu vya cheo hiko vina mpwaya sana.
 
Baraza Kuu la Chadema limegeuzwa kuwa Baraza Kuu la wanywa kahawa, maamuzi yake yamefutwa kwa dakika chache tu
No sio kirahisi hivyo. Kuna mambo lazima yatokee ili kufika pahala. Kuwa mtulivu sinema bado haijaisha
 
Mahakama ni muhimili ulio shuka hadhi sana
Tumejua hivyo kupitia hawa covid19. Msiwatukana kuna jambo letu wanatusaidia, baadae tutashukuru mchezo huu umetuvusha mto wa mamba. Kumbukeni bila wao tusingeyaona haya
 
Kila akiongelea mabadiliko ya mahakama huwa anaongolea majengo mapya yaliyojengwa!
Hata chadema mnaongelea picha ya jengo Leno la mabadiliko. Ila Hawaii wamama wanawadharau sana.
JamiiForums-594456176.jpg
 
Back
Top Bottom