Tanzania tunahitaji noti za sh 100,000/=

Tanzania tunahitaji noti za sh 100,000/=

Hiyo currency denomination na mchanganuo wa unit mojamoja za fedha yetu ni lazima uendane na uhalisia wa inflation rate.Hatujafikiwa na athari za kuchapisha noti ya laki moja kisa tuu ni kurahisicha portability ya fedha kwenye pochi au mifuko yetu.Denomination au unit za fedha zetu zinaendana na thamani ya bidhaa/huduma zetu zilivyo ktk masoko mbalimbali.

KWANZA PIA KIUCHUMI! kuhifadhi pesa tuu kwenye pochi ni kudidimiza uchumi.usiponunua bidhaa au huduma, maanayake unadidimiza soko, soko likiporomoka unaua viwanda, then utaathiri ajira na kodi serikalini.Ni bora kuinvest au ku save bank (zitatumika kuopesha na kuendesha miradi) .Ndio maana mataifa mengi yanatumia Electronic card (Drbt/credt card) na electronic cash machine.Hupunguza mifoleni isiyo ya lazima banki, usalama wa kuibiwa.Suala la kubeba mifurushi ya pesa limeshapitwa na wakati.Duniani kote hivi sasa kila kitu kinafanywa na kadi tuu technolojia imeruhusu na kurahisisha hilo.

Ifaamike pia Money supply nilazima ibalance na Money demand kwenye uchumi.Pesa zikiwa nyingi kwenye mzunguko kuzidi upatikanaji bidhaaa huleta mifumuko ya bei.Ukichukulia TZ ni nchi tunazalisha kidogo kuliko mahitaji (mapungufu ya viwanda vya ndani). bidhaa nyingi tunaagiza kutoka nje kwa kutumia dola,husababisha mahitaji ya dolla kuwa makubwa na kupelekea bei ya $ kuwa juu na kuathiri shillingi yetu(refer law of demand).Sote tunajua Import ikizidi Export inaathiri pia Balance of payment(BOP)

Kama nchi itaweza kutumia vizuri Monentary policy, Fiscal policy, Kukontrol Goverment expenditure, Control unemployement rate (MACRO ECONOMY) .Upo uwezekano mkubwa wa kufanikiwa ku stabilize shillingi (control inflation) yetu na kueepuka hayo mambo ya kuchapisha noti za laki au milioni etc Kwasababu uchapishaji wa single unit za noti/coin zenye thamani kubwa ni matokeo mabaya yanayoletwa na Mfumuko wa bei mkubwa zaid more than 2 digit (HyperInflation)
 
Wadau kutokana na huu mfumuko wa bei na kushuka ''purchasing power'' nafikiri
tunahitaji noti za sh 100,000 zichapishwe kuondoa mzigo wa minoti.Sijui itakuwa na
implication gani kwenye uchumi ,waliobobea kwenye hayo maswala naomba mtudadavulie!

Nawasilisha na pia nawatakia mwaka ujao wenye mafanikio tele.

Walichengwa hivyohivyo kama sikosei 1994 au 1995 wakachapa 5,000 na 10,000. Sijui ni linani lilishauri!
 
Hio sio njia sahihi mkuu. Njia sahihi ni kuondokana na cash economy. Watu watumie debt card kulipa malipo makubwa. Sio sahihi mtu kununua tv ya mil 3 kwa cash halafu tunaona sawa. Kwenye vituo vya mafuta wangeuza kwa debit card na supermarket xote na bar kubwa. Cash ni kwa ajili ya kununua peremende za watoto au kulipia madada poa kwa vile ni crime proceed hawataki banking track. Mie napendekeza debit card kwa Tz kwa vile credit card itakuwa shughuli bila vitambulisho vya taifa.
 
Hiyo currency denomination na mchanganuo wa unit mojamoja za fedha yetu ni lazima uendane na uhalisia wa inflation rate.Hatujafikiwa na athari za kuchapisha noti ya laki moja kisa tuu ni kurahisicha portability ya fedha kwenye pochi au mifuko yetu.Denomination au unit za fedha zetu zinaendana na thamani ya bidhaa/huduma zetu zilivyo ktk masoko mbalimbali.

KWANZA PIA KIUCHUMI! kuhifadhi pesa tuu kwenye pochi ni kudidimiza uchumi.usiponunua bidhaa au huduma, maanayake unadidimiza soko, soko likiporomoka unaua viwanda, then utaathiri ajira na kodi serikalini.Ni bora kuinvest au ku save bank (zitatumika kuopesha na kuendesha miradi) .Ndio maana mataifa mengi yanatumia Electronic card (Drbt/credt card) na electronic cash machine.Hupunguza mifoleni isiyo ya lazima banki, usalama wa kuibiwa.Suala la kubeba mifurushi ya pesa limeshapitwa na wakati.Duniani kote hivi sasa kila kitu kinafanywa na kadi tuu technolojia imeruhusu na kurahisisha hilo.

Ifaamike pia Money supply nilazima ibalance na Money demand kwenye uchumi.Pesa zikiwa nyingi kwenye mzunguko kuzidi upatikanaji bidhaaa huleta mifumuko ya bei.Ukichukulia TZ ni nchi tunazalisha kidogo kuliko mahitaji (mapungufu ya viwanda vya ndani). bidhaa nyingi tunaagiza kutoka nje kwa kutumia dola,husababisha mahitaji ya dolla kuwa makubwa na kupelekea bei ya $ kuwa juu na kuathiri shillingi yetu(refer law of demand).Sote tunajua Import ikizidi Export inaathiri pia Balance of payment(BOP)

Kama nchi itaweza kutumia vizuri Monentary policy, Fiscal policy, Kukontrol Goverment expenditure, Control unemployement rate (MACRO ECONOMY) .Upo uwezekano mkubwa wa kufanikiwa ku stabilize shillingi (control inflation) yetu na kueepuka hayo mambo ya kuchapisha noti za laki au milioni etc Kwasababu uchapishaji wa single unit za noti/coin zenye thamani kubwa ni matokeo mabaya yanayoletwa na Mfumuko wa bei mkubwa zaid more than 2 digit (HyperInflation)

Hawa wanaoficha pesa uswisi inabidi waelimishwe kuhusu hili,kipi kinashindikana kwa wao kuwekeza hapa nchini pesa nyingi kama hizo na kuokoa uchumi wetu!?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom