tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Siwez kujibu ilo swaliSaa hizi tunapatq wapi hivyo vitu?
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwez kujibu ilo swaliSaa hizi tunapatq wapi hivyo vitu?
Lakini kwa nchi kama yetu online shopping/business inawahitaji wenye hizo biashara wawe waaminifu. Kwa bongo online business inafeli hapo tu...Kuna mtu alisema dunia ilipofikia/inapoelekea sasa hivi siyo tena muda wa kujivunia kuwa na malls nyingi maana siku hizi habari ya mjini ni online shopping.
Yeah siku hizi kuna Amazon, Aliexpress, Kikuu, Jumia, eBay et al ushindwe wewe tu. Dunia inaenda kasi sana.Hii nayo ni point nzuri sana. Online shopping inakuja kwa kasi. Haya ma Mall yatakuwa hayana maana tena.
Yeah uaminifu ndiyo shida. Lakini laiti tungelikuwa waaminifu online shopping is bae.Lakini kwa nchi kama yetu online shopping/business inawahitaji wenye hizo biashara wawe waaminifu. Kwa bongo online business inafeli hapo tu...
mnachekesha sana mnaosema online shopping ni bora kuliko mallsHii nayo ni point nzuri sana. Online shopping inakuja kwa kasi. Haya ma Mall yatakuwa hayana maana tena.
online shopping hata kwa bwana mangi unafanya tuHata huko kwenye mall wanaweza kuweka kitengo cha online shopping kwa kuweka bidhaa kwenye mtandao mtu akipenda anapelekewa.