Asante,Alpha group of company ebu google wanalima hadi shrimps huko mafia! wanaexport varieties za sea food.
Wamefungua chain of supermaket musoma na Mwanza kwa jina la Alpha Choice ambapo unapata aina zot za seefood!
Spice inayolimwa sana hapa Tanzania ni Tangawizi check na mbuge wa Same! pia Kigoma Tangawizi za kumwaga.
ahsasnte sana kajansi. nitawasoma hao alpha.Alpha group of company ebu google wanalima hadi shrimps huko mafia! wanaexport varieties za sea food.
Wamefungua chain of supermaket musoma na Mwanza kwa jina la Alpha Choice ambapo unapata aina zot za seefood!
Spice inayolimwa sana hapa Tanzania ni Tangawizi check na mbuge wa Same! pia Kigoma Tangawizi za kumwaga.
ahsante malila,yaani kuna mtu anataka tuingie kwenye hiyo biashara ya sea food, anachojali ni quality na price. hapa nilipo sijui hata nianzie wapi. naomba nikutafute role model wangu maana sitaki kuipoteza hiyo opportunity. halafu nimepoteza yale mawasiliano.Asante,
Umesaidia sana, ukija hapa Kilwa kuna kambi ya Alpha kwa biashara hiyo ya see foods, hata marafiki zangu kadhaa hupeleka pale.Vyakula bahari sasa hivi imeanza kuwa biashara kubwa hata kwa soko la ndani. Hata Mbezi Luisi kwa wakuja wenzangu jioni kuna kamba kochi wanauzwa.
Ukitaka kujua biashara ya viungo na vinakopatikana nenda pale soko mjinga Kisutu, mfano unaposema pilipili, ni neno pana sana, ziko nyingi,pilipili mtama yaweza kuwa ndio pilipili ghari zaidi,lakini akina kanjibai wanataka pilipili washa ili wapige chafya na kutoa machozi,pilipili mbuzi,pilipili kichaa,hoho nk.
Je wajua gil gilan,je wajua mbilimbi,je wajua ukwaju,nyanya chungu,vitunguu swaumu, vitunguu maji,mdalasini,binzari,iriki nk. Nenda Kisutu pale utapata majibu. Pilipili Mtama hupatikana milima ya Matombo huko Moro.
ahsante malila,yaani kuna mtu anataka tuingie kwenye hiyo biashara ya sea food, anachojali ni quality na price. hapa nilipo sijui hata nianzie wapi. naomba nikutafute role model wangu maana sitaki kuipoteza hiyo opportunity. halafu nimepoteza yale mawasiliano.