Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
habari?
naomba kujua tanzania tunalima spices zipi kwa sana? na yeyote mwenye taarifa juu ya ulimaji wa cloves (karafuu) na elachi (kiswahili chake sijui) naomba kushare nae hizo taarifa. kwa anaefanya biashara ya sea food kama vile prawns(kamba), crabs(kaa) na crayfish especially yule anaeexport please naomba kuzungumza nawe.
Malila, LAT na wengineo nawasikiliza.
naomba kujua tanzania tunalima spices zipi kwa sana? na yeyote mwenye taarifa juu ya ulimaji wa cloves (karafuu) na elachi (kiswahili chake sijui) naomba kushare nae hizo taarifa. kwa anaefanya biashara ya sea food kama vile prawns(kamba), crabs(kaa) na crayfish especially yule anaeexport please naomba kuzungumza nawe.
Malila, LAT na wengineo nawasikiliza.
Last edited by a moderator: