Wa Igima
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 376
- 110
habari wana jamii....
Msaada kwa wenye uelewa na hili.
Ktika pitapita zangu mtandaoni na kwenye magazeti nikiangalia exchange rate za kila siku kwa kila nchi naona thamani ya fedha yetu ipo chini zaidi kiasi kwamba haijapishana sana na hela ya Zimbabwe(zim dola)ambayo naona hata wenyewe hawaitumii tangu Inflation iikumbe.
Zimbabwe siku hizi wanatumia US dollar na RSA Rand. Kama kweli kuna Inflation wazee wa uchumi tuambieni tuu ukweli tuanze kujiandaa kisaikolojia kutumia Dola,Shilingi ya Kenya au Faranka ya Rwanda.
Zitto Kabwe na wanauchumi wengine mada yenu hiyo karibuni mtusaidie.
Msaada kwa wenye uelewa na hili.
Ktika pitapita zangu mtandaoni na kwenye magazeti nikiangalia exchange rate za kila siku kwa kila nchi naona thamani ya fedha yetu ipo chini zaidi kiasi kwamba haijapishana sana na hela ya Zimbabwe(zim dola)ambayo naona hata wenyewe hawaitumii tangu Inflation iikumbe.
Zimbabwe siku hizi wanatumia US dollar na RSA Rand. Kama kweli kuna Inflation wazee wa uchumi tuambieni tuu ukweli tuanze kujiandaa kisaikolojia kutumia Dola,Shilingi ya Kenya au Faranka ya Rwanda.
Zitto Kabwe na wanauchumi wengine mada yenu hiyo karibuni mtusaidie.