Tanzania tunatumia bidhaa gani toka Marekani? Dollar ya kazi gani?

 
Tatizo mtu anayejifanya mjuaji kama wewe Ujinga huwa haumuishi. Badilika kwanza
Ujinga wake na wako ulishadhihirika kwenye uzi miaka 8 iliyopita, soma post za mwishoni.., huu uzi ni wa 2016.
 
Hili jambo linashangaza sana Principle ya uchumi imebase katika Demand and Supply, Production and Market, Dollar inaikataa Production chain, Scarcity ukichunguza vizuli kuna wizi hapa dunia nzima tunawafanyia kazi wamarekani ili watulipe karatasi zao, kwanini Dunia isije na mfumo wa pesa moja itakayokubalika kutumiwa na nchi zote badala Dollar, Nawaambien kama Brics watakwepa mitego ya kusalitiana basi hii itakuwa ni chachu kuelekea one world Currency badala ya kutemea Taifa moja
 
Haya Mambo ya Federer bank sijui nani bado ni wamarekani wale wale na wanaoperate hapohapo US hizi ni blabla tu mwisho wa siku wa US wana enjoy tu jasho la nchi zingine na ndio watu wengi wana dream ya kukimbilia huko
 
Mjinga hawezi kukuelewa tena huyo mjinga anayekubishia kupata elimu ya Mtaala kutoka huko US tena theoretical US kiufupi IMF na WB ni mfumo iliyoletwa kunyonya na kudumaza nchi zinazoendelea.
 
Ili Uweze kununua unahitaji vitu viwili

1.Bidhaa
2.Pesa(media of exchange)

Hapo Namba Mbili Ndio kuna utata, Nina pesa (TSh) lakin haikubaliki kwenye mabadilishano Yaan kimataifa media of exchange ni Dolar.

Kwanin hatuna dola wakati tunaweza badili shilingi kuwa dola?

Wauzaji wa dolar hawataki kuuza dolar
 
Sasa hapo ndio kwenye Shughuli unajua Mpaka tunafika kwenye paper Money tulishapita kwenye Means nyingi of exchange anzia bater trade, Precious Metal, Paper Money ni watu wanakubaliana karatasi furani ndio itumika ndio maana utaona IMF, WORLD BANK wakikukopesha interm of Dollar, inawezekana kabisa tukakubaliana na tukawa na Pesa nyingine ya pamoja itakayotumika kama Medium of Exchange badala ya Pesa ya nchi fulani Tofauti na hapo tutaendelea kuwafanyia kazi hawa mabwana na wanaendelea kuwa Maboss zetu, ndio maana Sector mojawapo ya Marekani ikiyumba basi ni Dunia Nzima Uchumi utayumba si mnakumbuka Sector ya Nyumba Marekani iliyumba nini kilitokea Duniani kuna makampuni yalifungwa na mengine kufilisika kabisa
 
Tuombe Mungu hawa BRICS walete mbadala wa medium of exchange, otherwise hii kausha damu ya US itaendelea kutuumiza kwa miaka mongi sana, EURO walau wamejikwamua.., ila sisi wengine hasa kutoka Afrika, tutaendelea kuumizwa sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…