Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Iko juu kwenye elimu na siasa.Malawi hii hii mkuu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko juu kwenye elimu na siasa.Malawi hii hii mkuu au?
Kama wananchi wenyewe ndio nyie Kazi yenu kulaumu unadhani kuna nini cha maana Nchi inaweza kufanya?Tanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Technically hapa bongo hakuna kitu ambacho tumefaulu per say,,kila kitu ni sapoti ya nature..unachokizungumza kinaweza kuwa kina ukweli ukifikiria kiundani :mfano siku tofuti tofauti miaka tofauti mji mdogo wa tuduma kumekuwa ukitokea moto ukichoma mali na maduka ya watu lakini cha kushangaza jirani upande wa pili nchi ya Zambia Nakonde ndio wanakuja na vifaa vyao wanauzima
sasa unajiuiza maswali hivi kwanini miaka yote sector ambayo inahusika na kukabiliana na matukio kama haya inashindwa kujiandaa kimadhubuti mpaka kusubiri msaada kutoka kwa jirani .kwa hiyo huu ni mmjoja kati ya mingi ,something somewhere is wrong with us we need to change.
Tunawazidi kwa mambo ya nature sio ya kutumia akili na maarifa.Siyo kweli kwamba tunazidiwa kila kitu; tunawazidi kuwa na idadi kubwa ya watu - population!
Mleta mada amenistua kuandika wametuzidi kiviwanda. Kisiasa ni kweli wenzetu wapo mbali sana mbele yetu.Iko juu kwenye elimu na siasa.
Na sisi tuna Kingai, Mahita na GoodluckTanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Usipende kuidogosha sana Nchi yako. Katika la East and Southern Africa, Tanzania inapitwa na nchi 3 tu nazo ni South Africa, Kenya na Angola.Tanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Ukienda huko utakuta nao wanasema tunazidiwa na TanzaniaTanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Umepimaje elimu?Tanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.
Sio kweli umefanya utafiti kweli?Tanzania tupo underperformance sana tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka.
Elimu: Kwenye Elimu tunazidiwa na Kenya na Uganda karibia kila kitu.
2. Kwenye viwanda: Tunazidiwa na Zambia, Uganda, Kenya hadi Malawi.
3. Miradi ya Mikubwa ya Taifa ya viwanda: Huko ndio tupo chali kabisa.
4. Thamani ya fedha. Kenya wanatuzidi mara 20.
5. Biashara. Nako hivyohivyo.
Tunachowazidi wenzetu ni milima mirefu ya Mungu, maziwa yaliyowekwa na Mungu, wanyama na mbuga nyingi ambazo ziliwekwa na Mungu, na kuwa na eneo kubwa la ardhi.