Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Tanzania bara na (au) visiwani tulikua katika moja ya nchi za Africa zilizopendekezwa au zilizofikiriwa kuhost Grand Prix.
Ikumbukwe kwa Africa ni South Africa tu waliwahi host F1 GP, first time ilikua 1934 na last time ilikua 1993.
Lewis Hamilton, amewahi sikika akisema ktk moja ya interview yake anatamani sana angeendesha F1 katika bara la Africa.
Zanzibar:
By 2027 tunategemea first F1 ikafanyika hapo visiwani. Tayari pesa ishatengwa na MoU ishasainiwa uko Italy baina ya serikali ya Zanzibar (kupitia ZIPA - Zanzibar Investment Promotion Agencies na F1 organizer & stakeholders (hawakutaja exactly majina)).
(Hii ilitengenezwa na fans katika moja ya forums za F1, sio official)
Race track itakua ni closed sio street circuit, na imetengewa eneo la square kilometa 2.5 uko Zanzibar. Ujenzi utaanza 2025 na by 2027 utaisha. Kama itakua tayari imemeet vigezo vya FIA Grade 1 standard, kuna uwezekano tukaenda kusikiliza 1.6 V6 Hybrid engine hapo visiwani. What a wonderful time to be alive.
Tanzania
Bara hatuna chance kubwa sana. Na kama ipo tunategemea itakua street circuit sio closed. Sema serikali yetu kwenye michezo ya racing tupo nyuma sana.
Proposed circuit hii hapa iitwe Oysterbay Grand Prix
Itakua na urefu wa 4.45 kilometa, laps zikipigwa 57 inakua race distance 255 km.
Hii google map yake inavyoonesha.
Faida:
Itaongeza utalii, mapato, pesa, heshima, na watanzaia tuta enjoy.
Bei ya chini kabisa kuingia kwenye mashindano ya F1 ni $200 kwa siku tatu (Fri, Sat & Sun) lakini sisi masikini tutakaa nje kwa mbali tusikie mlio wa V6 hybrid engine.
Dah
Ikumbukwe kwa Africa ni South Africa tu waliwahi host F1 GP, first time ilikua 1934 na last time ilikua 1993.
Lewis Hamilton, amewahi sikika akisema ktk moja ya interview yake anatamani sana angeendesha F1 katika bara la Africa.
Zanzibar:
By 2027 tunategemea first F1 ikafanyika hapo visiwani. Tayari pesa ishatengwa na MoU ishasainiwa uko Italy baina ya serikali ya Zanzibar (kupitia ZIPA - Zanzibar Investment Promotion Agencies na F1 organizer & stakeholders (hawakutaja exactly majina)).
(Hii ilitengenezwa na fans katika moja ya forums za F1, sio official)
Race track itakua ni closed sio street circuit, na imetengewa eneo la square kilometa 2.5 uko Zanzibar. Ujenzi utaanza 2025 na by 2027 utaisha. Kama itakua tayari imemeet vigezo vya FIA Grade 1 standard, kuna uwezekano tukaenda kusikiliza 1.6 V6 Hybrid engine hapo visiwani. What a wonderful time to be alive.
Tanzania
Bara hatuna chance kubwa sana. Na kama ipo tunategemea itakua street circuit sio closed. Sema serikali yetu kwenye michezo ya racing tupo nyuma sana.
Proposed circuit hii hapa iitwe Oysterbay Grand Prix
Itakua na urefu wa 4.45 kilometa, laps zikipigwa 57 inakua race distance 255 km.
Hii google map yake inavyoonesha.
Faida:
Itaongeza utalii, mapato, pesa, heshima, na watanzaia tuta enjoy.
Bei ya chini kabisa kuingia kwenye mashindano ya F1 ni $200 kwa siku tatu (Fri, Sat & Sun) lakini sisi masikini tutakaa nje kwa mbali tusikie mlio wa V6 hybrid engine.
Dah