Tanzania tupo kwenye Mtego. Ni Lazima tuhakikishe amani inapatikana kati ya Congo na Rwanda kwa ustawi wa uchumi wetu

Tanzania tupo kwenye Mtego. Ni Lazima tuhakikishe amani inapatikana kati ya Congo na Rwanda kwa ustawi wa uchumi wetu

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Kwa namna yeyote ile ni lazima Tanzania ihakikishe amani inapatikana congo na Rwanda. Nchi zote mbili hizi Zina mchango mkubwa katika Uchumi na biashara katika nchi yetu.

Tanzania kwa sasa tupo katika mtego ambao ni lazima tuutegue katika njia ya amani kwa ustawi wa taifa letu. Kila la heri viongozi wetu Busara itumike kutafuta suluhu ya matatizo haya.
 
Kwa namna yeyote ile ni lazima Tanzania ihakikishe amani inapatikana congo na Rwanda. Nchi zote mbili hizi Zina mchango mkubwa katika Uchumi na biashara katika nchi yetu.

Tanzania kwa sasa tupo katika mtego ambao ni lazima tuutegue katika njia ya amani kwa ustawi wa taifa lety. Kila la heri viongozi wetu Busara itumike kutafuta suluhu ya matatizo haya.
Hatuna diplomatic muscles any more, the balance of power kwenye diplomacy has shifted to the South....wewe ukiangalia pale juu nani ni bingwa wa siasa na diplomacy anaweza kuchukua hizo initiatives.....

Watu wanashindwa hata kukaa na Chadema tu hapa nchi ikaenda vizuri kila mtu akawa happy ndiyo uwategemee kwenye international diplomacy mzee.....Diplomatic credibility is first built at your own backyard. Mzee JK aliweza kwa kuwa hata nyumbani kwake alijenga mazingira ya kuaminika though alifeli kweny katiba mpya. But at least his mastery of political maneuvers hapa home vilimpa credibility na trust ya kuweza kusikilizwa huko nje, hawa wa kushinda uchaguzi asilimia 100% hawawezi kusikilizwa na mtu kwenye kusuluhisha migogoro.
 
Hatuna diplomatic muscles any more, the balance of power kwenye diplomacy has shifted to the South....wewe ukiangalia pale juu nani ni bingwa wa siasa na diplomacy anaweza kuchukua hizo initiatives.....

Watu wanashindwa hata kukaa na Chadema tu hapa nchi ikaenda vizuri kila mtu akawa happy ndiyo uwategemee kwenye international diplomacy mzee.....Diplomatic credibility is first built at your own backyard. Mzee JK aliweza kwa kuwa hata nyumbani kwake alijenga mazingira ya kuaminika though alifeli kweny katiba mpya. But at least his mastery of political maneuvers hapa home vilimpa credibility na trust ya kuweza kusikilizwa huko nje, hawa wa kushinda uchaguzi asilimia 100% hawawezi kusikilizwa na mtu kwenye kusuluhisha migogoro.
Bado hatujapoteza ushawishi Tanzania tuna heshima kubwa mbele ya mataifa mengi duniani hasa afrika.
 
Watanzania tuache kuishi kwa historia.

Heshima yetu aliondoka nayo mwalimu Nyerere, hawa wengine hakuna anayewaheshimu huko duniani kwenye diplomasia na ushawishi na wala Watanzania sio dili huko nje ya mipaka ya Tanzania, tusikae kudanganyana hapa.

Suala la uchumi kwa DRC na Rwanda sio issue sana kwetu maana hata hao DRC na Rwanda wamekuwa vigeugeu kwenye suala zima la kufanya biashara na sisi.
Lazima tuwe na msimamo mmoja sasa WA kibabe ili watu wajue wapi tunasimamia.
Na msimamo wetu uwe ni NO FREE LUNCH, otherwise kila mtu ahakikishe analinda mipaka yake na tukiona anahatarisha usalama wetu tunamfuata huko huko kwa gharama zake.
Kuwasaidia DRC ni kujipiga makofi tu na kujitengenezea hasara ya bure Tu maana hao DRC hawako serious, viongozi wako Kinshasa na Lubumbashi wanatafuna hela za Kodi na dili za biashara na makampuni makubwa ya dhahabu yanayochimba madini

Tumesaidia sana mataifa mengi enzi za Mwalimu mpaka SouthAfrica lakini leo hii tunaonekana mafala Tu na hata heshima Mwalimu Nyerere hapewi kivile kama anavyopewa heshima Kwake na Mandela.
 
Africa amani ailetwi na vikao ni risasi tu.
Rejea mzozo wa Jonas Savimbi na serikali ya Angola.Wahutu na Watusi,Flerimo na Renamo,Iddi Amini na Nyerere.Wote hao mizozo yao ilimalizwa kwa mbungi.
 
Ni mwendo wa taataaataa hadi usurrender

images.jpeg
 
Nadhani Tanzania inachopaswa kufanya ni kulinda mipaka yake! Siyo kuvuka mipaka na kwenda kupigana vita ambayo haijui inapigana kwa maslahi ya nani!
Tumesikia SA wanapigana vita kulinda makampuni yao ya madini!
Sasa na sisi huko Congo tunapigania nini huko?
 
Back
Top Bottom