Tanzania tutumie ujasusi kuiba teknolojia, hakuna atakayetupatia teknolojia

Tanzania tutumie ujasusi kuiba teknolojia, hakuna atakayetupatia teknolojia

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu,

Kwa matokeo haya ya form six na hasa zile shule za vipaji maalumu kufanya vizuri, Je Serikali inawatumiaje kwa sababu kuna wengi wanaishia kwenda nje na kusoma na kuishia kufanya kazi kwenye makampuni nje Kama yule mtanzania ambaye yupo kampuni ya Boeing Marekani.

Watanzania walishtuka sana kipindi tunanunua dreamliner na kumkuta mtanzania mmoja miongoni mwa wanaosuka Boeing hizi tuzionazo.
 
Mleta mada unaibaje teknolojia wakati ina copy right

Ungesema tugundue yetu hapo sawa
 
hatujafikia levele hizo, hata kudukua tu ile app ya Mange ikaonekana ip adress zimetokea tcra, hata kujificha hawawezi kwa vpn ndio wataibaje teknolojia hao ??
 
Salama wandugu,
Kwa matokeo haya ya form six na hasa zile shule za vipaji maalumu kufanya vizuri, Je Serikali inawatumiaje kwa sababu kuna wengi wanaishia kwenda nje na kusoma na kuishia kufanya kazi kwenye makampuni nje Kama yule mtanzania ambaye yupo kampuni ya Boeing Marekani, watanzania walishtuka Sana kipindi tunanunua dreamliner na kumkuta mtanzania mmoja miongoni mwa wanaosuka Boeing hizi tuzionazo.
Unazungumzia majasusi wepi? Kina Gudluck, J4 na Kingai ama
 
Hao wanafunzi wote wanaopata A sjui
Wengi wao akili zao za kukaririshwa tu

Ova
 
Salama wandugu,

Kwa matokeo haya ya form six na hasa zile shule za vipaji maalumu kufanya vizuri, Je Serikali inawatumiaje kwa sababu kuna wengi wanaishia kwenda nje na kusoma na kuishia kufanya kazi kwenye makampuni nje Kama yule mtanzania ambaye yupo kampuni ya Boeing Marekani.

Watanzania walishtuka sana kipindi tunanunua dreamliner na kumkuta mtanzania mmoja miongoni mwa wanaosuka Boeing hizi tuzionazo.
Unafahamu adhabu ya wizi ?😂
 
Hao wanafunzi wote wanaopata A sjui
Wengi wao akili zao za kukaririshwa tu

Ova
Kabisa..mimi siku hizi nikisikia matokea yametangazwa..wala sishtuki ni kama taarifa ya habari...siasa nyingi sana..
 
Back
Top Bottom