Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,363
Pascal hujanijibu swali langu umekuwa so evasive.Sheria inayounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni Tume huru, an independent institution ambayo haipaswi kuingiliwa na yeyote kama lilivyo Bunge, Mahakama, Ofisi ya CAG, Tume ya Haki za binaadam na Utawala Bora, ofisi ya DPP, Takukuru etc. Taasisi zote hizi watendaji wakuu wanateuliwa na rais.
Kama tumeikubali Mahakama kuwa iko huru, na NEC pia iko huru!.
Kitu nilichosema kuhusu NEC, kwa vile uchaguzi unahusisha vyama vingi, then NEC should be inclusive.
TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki!
Wanabodi, Hii ni TV Program Alert nyingine kufuatia ile ya mwanzo. Kufuatia mjadala mkali ulioibuka humu jf kuhusu uchaguzi uliopita kama ulikuwa huru na wa haki, na kama Tume ya Uchaguzi haikuchakachua matokeo, jee iliogopa nini independent bodies zisifanye independent tallying, na badala...www.jamiiforums.com
The electro process zina guarantee uchaguzi huru na wa haki. Ila our electoral law is a bad law na hili tumelizungumza sana humu.
PSheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?
Wanabodi, Declaration of Interest Mimi ni miongoni mwa Watanzania wazalendo wa nchi yangu, ambaye japo ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini tunapokuja kwenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa, mimi taifa kwanza ndipo chama kinafuata, kwa sababu siasa za vyama vingi za Tanzania, tunaziona...www.jamiiforums.com
Tuache Bunge, Mahakama, CAG, CHRAG, DPP na TAKUKURU kwa sasa, ambapo kuwa HURU kwakwe iongelewe Siku nyingine.
Itoshe tu kusema kuwa:
Tume inaundwa na katiba ya Jamhuri ya muungano ya mwaka 1977 chini ya Ibara ya 74(1).
UHURU wa tume kama upo, labda unapatikana chini ya ibada 74(7) kwa maneno yafuatayo " tume ya uchaguzi itakuwa ni imara huru inayojitegemea"
Swali ni je chini ya katiba kuna guarantees gani zinazoonesha kuwa tume inayopewa huo uhuru ??? Kama ilivyo dhana za uhuru wa mahakama (independence of the judiciary) na mgawanyo wa madaraka (separation of powers) ambayo kwa kiasi kikibwa inafanya mahakama iwe huru
Inclusiveness inatokana na jinsi ambavyo muundo wa tume ulivyo. Kama tatakubali kuwa tume si huru basi itabidi kuangalia tume huru HURU inatakiwa iweje???
Pascal niambie ni kwa vipi unadhani hii tume ni huru???