Tanzania Tycoons List...

Yah hii ni kutokana na utafiti gani au huyu jamaa kazipata wapi kuweza kutengeneza list hii
 
UWEZO wa watanzania wengi kufikiri ni wakimasaburi saburi tu....Sasa mpaka lini mtaendelea kupenda kitabu kutokana na uzuri wa jalada lake?
Kama kwel hao ndio matajiri wa nchi hii basi kila anyesikikika kwenye vyombo vya habari hata kama ni Msimamizi tu wa biashara flani basi na yeye ni tajiri.
Matajiri wa kweli wanathaminishwa na takwimu zao za utajiri ambazo hawaogopi kuziweka hadharani pale inapohitajika.
ONYO:Angalia usijwe shitakiwa kwa kos la kumnadi mtu bila ruhusa yake.Sheria inaweza kukutia hatiani na kukutaka umlipe muhusika fidia na hivyo kumfanya kuwa tajiri kama ambavyo masaburi yako yalitaka.
 
Nyerere ndo tajiri. Utajiri wake uko kichwani na kwenye vitabu vyake. Hao wengine wezi tu! Knowledge na busara ndo utajiri wa kweli.
 
Aaah hao matajiri wa madini Arusha wana makeke mengi tu kwa kuwa mji ni mdogo lakini sio matajiri wa kuingia kwenye orodha ya matajiri wa kueleweka.

Mtu anayeoshea gari lake bia naye ni tajiri au limbukeni?

Mbona Shimbo hatajwi? Yeye ana trillion 3! Kifupi siiamini hii list. Huwezi kuacha kumtaja Zakaria. Kifupi kwa kuwa Tanzania jinsi kudhibiti mianya ya kukwepa kodi ni ngumu, ni vigumu kumjua mtu tajiri TZ..
 
Tanzania tunsa shida ya transoarency kwenye finacials. Hatuwezi pata takwimu sahihi labda tutafute independent body iweze toa hii orodha.
 

Nadhani hawa wanaolipa kodi ndo wanastahili kuitwa matajiri na na na imani na wao wanajisikia fahari kuitwa matajii walipa kodi kwa maneno mengine matajiri halali!..........hawa mimi ndo ninawaita matajiri............wanalipa kodi na wametengeneza ajaira na biashara kwa wengine hata kama wanaofaidika nao wote si Watanzania...................lakini hawa wengine nawafananisha na wezi tu.............hawawezi kutuambia wanachangieje pato la taifa...........hasa kama hawalipi kodi!
 

sikubaliani na wewe.....kuna watu wanahela kufuru na wanajua kukwepa taxes haijawahi tokea tena duniani hapa......unakuta wachaga wa kkoo, mtu ana import ma Container (40 feet) cio chini ya container 18 kila mwezi zenye thamani ya mpaka $600,000 each of them. Anazungusha mzigo mpka unakuwa mpole wewe......na ukicheck tax anayolipa ni inverse proportional na profits zake. Acha balaa wewe !!! kuna watu hela iko......
 
Unapoanzisha mada uwe na data za ukweli hapa umechemsha sana fanya utafiti kabala hujaandika pumba
 
Mtu anayemuweka Kajumulo katika list ya Tycoons amekosa uwezo wa kufikiri 😱hwell:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…