Tanzania Tycoons List...

Tanzania Tycoons List...

Chuma . . . Asante sana kwa angalizo. Actually nia yangu ya kuanzisha hii thread ni kutaka Watanzania wengine tuweze kujifunza kutoka kwa wenzetu ambao wemefanikiwa katika hilo. Bila ya shaka kuna watu ambao geinuinely watakuwa wamepata utajiri kwa njia za haki na tunapaswa kujifunza kutoka kwao. Na hili sidhani binafsi kama ni swala la kisiasa bali la kimaendeleo na hasa hasa kibiashara na bila ya shaka wenzetu hao watahitaji pongezi as long as tutapata actual facts.

Binafsi kama umeona post zangu zote hazina muelekeo wa kisiasa na ndio maana ninaweka na sources za information zangu.

TPN ni Mtandao ambao haufungamani na Jinsia, Dini wala Siasa za mlego wowote na ndio maana ina wapenzi na wanachama wa namna zote.

Kuna njia nyingene nzuri tu za kujifunza kwa watu walifanikiwa lakini sio hii unyofanya wewe hapa, kwanza hatutasikia chochote kutoka kwao ....please tafuta njia nyingine
 
Kuna njia nyingene nzuri tu za kujifunza kwa watu walifanikiwa lakini sio hii unyofanya wewe hapa, kwanza hatutasikia chochote kutoka kwao ....please tafuta njia nyingine

Mchelea Mwana, asante kwa angalizo. Nitashukuru kama utatueleza pia "Njia nyingine nzuri ni ipi" ya kuwajua matajiri wa Tanzania waliofanikiwa kihalali. Niko tayari kusikiliza ushauri wako.
 
Mchelea Mwana, asante kwa angalizo. Nitashukuru kama utatueleza pia "Njia nyingine nzuri ni ipi" ya kuwajua matajiri wa Tanzania waliofanikiwa kihalali. Niko tayari kusikiliza ushauri wako.

Sijuai unazungumzia kiwango gani cha mafanikio lakini kwa msaada mfupi kama shida ni kujifunza jinsi gani wemefanikwa na "ups an down" zao itisheni kikao cha pamoja nao au fanyanao mahojiano ya one on one then ilete hapa tutapata picha ni jinsi gani wamefanikiwa.

Ahsante mzee
 
Sijuai unazungumzia kiwango gani cha mafanikio lakini kwa msaada mfupi kama shida ni kujifunza jinsi gani wemefanikwa na "ups an down" zao itisheni kikao cha pamoja nao au fanyanao mahojiano ya one on one then ilete hapa tutapata picha ni jinsi gani wamefanikiwa.

Ahsante mzee

Mkuu, nashukuru sana kwa mwongozo wako. Bado nahitaji msaada wako, hata kuitisha kikao cha hao waliofanikiwa au "waliotajirika kihalalii" sijui pa kuanzia. Once wakifahamika tu, I will be the first one kuwafuata na kuwatumia ili watupe changamoto Watanzania Wengine. Kwa hiyo msaada ninao hitaji ni kuwafahamu hao ni wa akina nani.

Kenya na Uganda si shida sana kuwajua na unaweza ukasoma thread mbili ambazo zimejaribu kuwataja na ni nini wanafanya.
 
Bora uanzie na wenye biashara halali tu, wenye kampuni zilizosajiliwa au wanaolipa kodi zinazopokelewa na TRA.
Nenda TRa kwa walipa kodi wakubwa, uangalie makampuni worth kiasi gani, angalia wenye shares humo, basi.
sisi wengine matajiri kutokana ufisadi, madawa, kwa mabuzi, nk huwezi kupata data kwa sasa.
baadae utaratibu wa majumba utakapokuwa mzuri utaanza kuangalia hadhi za nyumba za makazi nk..
Sasa anzia tra (tunasubiri taarifa yako)
hapa utapata majungu tu!!
hakuna mfanyakazi wa sehemu yenye hizo data anaeweza kuzileta hapa!!
 
Jamani mbona mnazunguka hata kuhit kwenye point hakuna.Sasa nani zaidi hata za kifisadi hizo hizo.
 
Jamani mbona mnazunguka hata kuhit kwenye point hakuna.Sasa nani zaidi hata za kifisadi hizo hizo.

Aziz Abood(abood buses,factories,truck company,tv&radio,properties),Nasoro(doll trailers,superstar buses,royal buses,major shareholder-mtibwa sugar,kagera sugar,city water,truck company,properties),Mohamed Dewji(mahamed enterprises,factories,properties). I have thrown the first stone waiting for other contributions
 
I thought the guy wanted a database, with data, the database should be live and everchanging.
this is not the place.
we will be listing only some, leaving the other.
A thief is not listed in any database in any country. The guys you see, are rich and can declare their riches anywhere, not afisadi or a thief.
unles we want to change the subject.
After all the guy wants to use them as an example, so we do not need thives
 
I concur with you,but the contrary to what you wrote herein,is like to declare evils to be a right action and not against morality.
 
Reginald Mengi,Said Bakhresa,Mohammed Dewji,Mohammed Aboud,Tarimba Abbas,Rostam Aziz,Yusuph Manji,Philemon Ndesamburo,Alez kajumulo,Freeman Mbowe,Michael ngaleko(presicion air Ltd).........
 
Said nahdi-Oilcom with subsidiaries in malawi and kenya,alhushoom transport,buses properties including mayfair shopping mall,construction company
 
pia yupo Fidahussein-Africarriers,properties including heidary plaza,raha towers,zahra towers etc
 
I think Bhakaresa comes on top the rest are aslo runs!
 
Mchelea Mwana, asante kwa angalizo. Nitashukuru kama utatueleza pia "Njia nyingine nzuri ni ipi" ya kuwajua matajiri wa Tanzania waliofanikiwa kihalali. Niko tayari kusikiliza ushauri wako.

Waalikeni Forbes waje kupiga kazi hiyo changisheni waje kufanya hiyo kazi independently, Tatizo la kukwepa kodi sio mwisho wa zoezi, hata kina ambromovich na kina Carlos wanakwepa sana kodi.
 


The richest person in Tanzania

...How much does he/she worth? (...in $'s)

Any Guess?


According to a survey published by Forbes magazine, the top richest men in Africa are listed below

1 Nassef sawiri an Egyptian worth $11 billion is richest in Africa and 68th in the world

2 Onso Sawiris also an Egyptian is second in Africa and 96th in the world rich list with his $9 billion assets

3. South African Nicky Oppenheimer, with a net worth of $5.7 billions is 3rd richest in Africa and 173rd in the world rich list

4. South African Johan Rupert worth $3.8 billions is forth in Africa and the 284th in the world
5. Aliko Dangote, Nigerian is the 5th richest man in Africa and 334th in the world with a net worth of $3.3 billion
 
Uchambuzi wa: https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=265428#post265428 (Unaweza kuongeza majina unayoyajua katika thread hii) unaonyesha kuwa listi ya Matajiri Tanzania ni hii iliyopo hapa chini.

Ingawa hakuna takwimu juu ya utajiri walionao na kiasi gani cha pesa walichonacho, swali la msingi ni: Je tunajifunza nini kutokana na jitihada zao za biashara au kupata utajiri? Je, inawezekana Watanzania wengine wakafanya jitihada na kufanikiwa kama wao?
 
Uchambuzi wa: https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=265428#post265428 (Unaweza kuongeza majina unayoyajua katika thread hii) unaonyesha kuwa listi ya Matajiri Tanzania ni hii iliyopo hapa chini.

Ingawa hakuna takwimu juu ya utajiri walionao na kiasi gani cha pesa walichonacho, swali la msingi ni: Je tunajifunza nini kutokana na jitihada zao za biashara au kupata utajiri? Je, inawezekana Watanzania wengine wakafanya jitihada na kufanikiwa kama wao?

The List

  1. Said Salim Bakhressa: AZAM - Grain milling, corporate finance, passenger sea transportation, plastic packaging, marketing, polypropylene bags, other branches of engineering field, food industry, drinking water

  2. Aziz Abood: Abood buses,factories,truck company,tv&radio,properties)
  3. Nasoro: Doll trailers, superstar buses, royal buses, major shareholder-mtibwa sugar,kagera sugar, city water, truck company, properties
  4. Mohamed Dewji: Mohamed enterprises, factories, properties
  5. Rostam Aziz: Caspian; Vodacom
  6. Reginald Mengi: The IPP Group, Financial Consulting firm (IPP Consulting), Coca-Cola (Coca-Cola Kwanza, Bonite Bottlers and Kilimanjaro Spring Water), (IPP Bodycare Ltd (IPP Media). These include The Guardian Ltd; Nipashe, Alasiri, Kasheshe, Independent Television Ltd. (ITV), East Africa Television (EATV, formerly Channel 5)), Radio ONE, Sky-FM (in a joint venture with BBC) and East Africa Radio.
  7. Michael Ngaleko: Presicion Air Ltd
  8. Fidahussein: Africarriers,properties including heidary plaza, raha towers, zahra towers etc
  9. Yusuph Manji: Quality Group; Properties, Trucks
  10. Andrew Chenge: Worth US$ 1million (over 1 billion Tanzania shillings) in an overseas offshore account
  11. Nazir Mustafa Karamagi: Tanzania International Container Terminal
  12. Edward Ngoyayi Lowassa
  13. Mohammed Aboud
  14. Tarimba Abbas
  15. Philemon Ndesamburo
  16. Alex kajumulo
  17. Freeman Mbowe
 
Back
Top Bottom