Tanzania U17 (Serengeti Boys) Mabingwa wa kombe la CECAFA U17

Tanzania U17 (Serengeti Boys) Mabingwa wa kombe la CECAFA U17

Nikiwakumbuka vijana hawa wala hata sishangilii ubingwa huu maana sioni future ya taifa stars.
1 Mohamed Hussein gk copa coca cola 2008
2 kabal faraj gk copa coca cola 2008
3 leodgar Ngonyani center back copa coca cola 2008
4 Lambele Jerome center back copa coca cola 2008
5 Dotto Wilson na pacha wake kulwa Wilson fullbacks copa coca cola 2008
Na wengine wengi walioipelekea Tanzania Brazil na kutwaa ubingwa
Lambele Jerome hakua center back
 
Back
Top Bottom