Tanzania ukiwa Bondia halafu hujui Kuroga au Kujiganga tegemea Kuzimia Ulingoni, kuwa Kilema haraka au hata Kufa kabisa

Ndio maisha ya mtanzania haya? Anafikiria mpakq nguvu za giza zihusike. Wakati mandia wakubwa huko nje wana stick na diet, mazoezi kwa sana, na technical arts za boxing?

Seriously?
 
Isije kuwa ile knock out ya mazeli ni makafara ya uchaguzi wa 2025, shauri zenu
 
Matumla ndiyo zake hizo,kuna mzungu alilalamika hivyohivyo
 
Nyiee leo nimeliaa nimeangalia huyo kijana alivyopigwa akaanguka chini akashindwa kuhema...nimeumia sanaaaaaaa...
Yule aliempiga badala aonyeshe fair play anafanya ishara ya kwamba yule jamaa akafukiwe..nimeumiaaaa kama mama...
Nawaza vijana wangu wa kiume wakiwa wakubwa siku moja maskini wakikosa maisha ndo katika kupambana wanakutana na hali kama hizi...
In short niseme tuu nimeumia halafu nilikua sijalia siku nyingi basi leo nimetoa sumu mwilini kwa uchungu....
 
Pole sana dunia haina huruma mimi nikiangalia watu wanavyoteseka juani naumia sanaaa nawaza kizazi changu kitakuaje
 
Acha makasiriko tafuta pesaaa, kukosa pesa kwako ndio unifokee hahaha, jitafute rafk mm hata hunifikii hata iweje, hata kielimu hunifikii
Ni kweli sikufikii. Sasa pesa na elimu yako inakusaidia nini kama unapigwa Pumbu na wanaume wenzako? Si bora hata mi ngumbalu.

Elimu na pesa ina faidia ukiwa unapiga mashine mademu wazuri ila wewe unapanua tako huku unakata mauno ili wanaume wenzako wakukojolee.

Pumbavu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…