Tanzania unaweza kufika kutoka nchi yoyote ukanunua ardhi, ukajenga, ukawekeza na wasikufanye lolote

Wewe na kushauri jikute kutafuta vya kwako achana na propaganda za wana siasa na viongozi wetu wana tulaghai tu ili tuone kama tuna miliki nchi yetu, achana na cha kumiliki aridhi ananunua kwa pesa yake, unajua tuna wa bunge na viongozi wengi amboa sio watznia ila wanesaidia hi nchi kuliko watazania wazawa, na serikali inawajua vizuri na inawatumia, wewe pambana na familia tu mengine acha yapite, utakufa kwa msukumo wa damu bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…