Tanzania Usalama unazidi kutoweka - Mkamato wa polisi saa nane za usiku, sasa kama tunalala na silaha?

Tanzania Usalama unazidi kutoweka - Mkamato wa polisi saa nane za usiku, sasa kama tunalala na silaha?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Mtakuja kusema tumeua polisi wakati tulidhani ni majambazi, yule kamanda mkuu wa polisi aliesema tulale na silaha kama yupo ni bora abadilishe kauli, maana sasa makuruti wanatumwa kutukama saa za usiku wa manane na wanagonga mlango kama wezi wanaong'owa dirisha ni hatari sana.

Yaani ikitokea nimekurupuka usingizini na silaha yangu nikaamua kupambana kizani na kuwaua au kuwajeruhi vibaya japo kwa kitu chenye makali kali watasemaje?

Hivi polisi hamjiamini kukamata watu mchana kweupe?
 
Zakalia alifanya yake tarime
Hebu dadavua tuelezee hio kisa iko kutokea huko,kulitokea mpapatuano kati ya polisi na raia bila ya kujuwana ? au ikoje hio sakata,very interesting.
 
Uwenda kuna taarifa za uhalifu wamedokezwa maeneo flani wakawai kabla ya tukio.
 
Mtakuja kusema tumeua polisi wakati tulidhani ni majambazi, yule kamanda mkuu wa polisi aliesema tulale na silaha kama yupo ni bora abadilishe kauli, maana sasa makuruti wanatumwa kutukama saa za usiku wa manane na wanagonga mlango kama wezi wanaong'owa dirisha ni hatari sana.

Yaani ikitokea nimekurupuka usingizini na silaha yangu nikaamua kupambana kizani na kuwaua au kuwajeruhi vibaya japo kwa kitu chenye makali kali watasemaje?

Hivi polisi hamjiamini kukamata watu mchana kweupe?
Wauwe tu wakusake na kukukamata kama yule mwenzako marehem aliyeuwa afisa Arusha akakimbilia morogoro
 
Kwa hiyo unataka kuwapangia polisi muda wa kuja kukukamata sio?
 
Mtakuja kusema tumeua polisi wakati tulidhani ni majambazi, yule kamanda mkuu wa polisi aliesema tulale na silaha kama yupo ni bora abadilishe kauli, maana sasa makuruti wanatumwa kutukama saa za usiku wa manane na wanagonga mlango kama wezi wanaong'owa dirisha ni hatari sana.

Yaani ikitokea nimekurupuka usingizini na silaha yangu nikaamua kupambana kizani na kuwaua au kuwajeruhi vibaya japo kwa kitu chenye makali kali watasemaje?

Hivi polisi hamjiamini kukamata watu mchana kweupe?
Hivi Zakaria walishamwachia ?
 
Back
Top Bottom