watu wengine bana. so ts haijaonyesha kiwango chochote au mlitaka tufungwe kabisa aaaagh
stars wamepiga bonge la mpira. kumbe waarabu wanafungika easy tu.
Kuna watu wanatakiwa kupigwa vidole vya vutu haki ya nani. Mtu na akili zako unafurahia hawa waarab kwa kusawazisha badala ya kusononeka Taifa Stars kukosa ushindi? Sijui watu mkoje. No pride ya kuwa Mtanzania, No uzalendo wala nini. Inaelekea Tanzania ikipigana vita na Algeria kuna watu watasaidia Algeria iangamize Tanzania.
Ndo hatujafungwa ka vipi kuleni malimao msiotutakia mema tena ombeni na Uraia wa Algeria ikibidiMimi nilitaka mfungwe
MNAOPONDA STARS NI WAJINGA NA WAHAINI, mnatakiwa kuisapoti timu yenu, tena inapoonesha kiwa ime-improve, Stars wamecheza vizuri sana. HATUJAFUNGWA.
HONGERA STARS!
Nawashangaa watu hasa WANA UKAWA MNALETA SIASA HUMU. Kamwe kwa mentality hiyo hamtatoboa maisha, ulipofikia ndo mwisho!
MAANINA ZENU WOTE MNAOIBEZA STARS!
Mimi nilitaka mfungwe
Huu ndo upvmbavu ambao utawakwamisha Kusonga mbele maishani.
Mna safari ndefu sana!
jecha ajeee afute mechi
Mkuu unahangaika bure.. Uzalendo waanze kuuvaa viongozi wetu kwanza..
Sasa mimi nisiyeumia Stars kufungwa au kutoa draw nina tofauti gani na yule anayeuzia Twiga hao hao waarabu.. Tena si afadhali ya mimi kuliko Kiongozi jangili anayeua tembo kila kukicha.. Aaaahh uzalendo wakati mnatuibia haki zetu, too hell with that.. Hii nchi ilipo sasa kila mtu anaangalia ustaarabu wake..
Ujinga huu wa mabeki na mkwasa kumuingiza ngasa na ndemla imetucost. Ila bado nina imani. Algeria ni mbovu wala sio hii ya 2014.
Ujinga huu wa mabeki na mkwasa kumuingiza ngasa na ndemla imetucost. Ila bado nina imani. Algeria ni mbovu wala sio hii ya 2014.
Nadhani utakuwa unatoka visiwani. Weka siasa pembeni mkuu, wengi wetu hatuitaki CCM lakini linapokuja swala la Taifa (Tanzania) hakuna swala la itikadi ya chama chochote wala ubara au Uzenji. Taifa stars ni ya wote bila kujali ulizaliwa wapi au wazazi wako wana asili ya wapi? Watanzania inabidi tuelimishwe kuhusu jambo hili. Kuna threads ukitembelea hapa JF watu wanaongelea vitu vya kipumbavu mfano tofauti za dini, ukabila, ubara vs Uzenji. Upumbavu mtupu. Freeland jaribu kukuza akili zako expose yourself with different ideas utakuja kuwa a better person.
Kila kitu mnakiangalia kwa jicho la kisiasa.No wonder kuna kijana alimfukuza baba yake nyumbani kwake eti kwa kuwa amekataa kuwa CDM.Yaani mmepachikwa CHUKI KALII ambayo hata Mbowe mwenyewe haishi hivyo.Mkuu unahangaika bure.. Uzalendo waanze kuuvaa viongozi wetu kwanza..
Sasa mimi nisiyeumia Stars kufungwa au kutoa draw nina tofauti gani na yule anayeuzia Twiga hao hao waarabu.. Tena si afadhali ya mimi kuliko Kiongozi jangili anayeua tembo kila kukicha.. Aaaahh uzalendo wakati mnatuibia haki zetu, too hell with that.. Hii nchi ilipo sasa kila mtu anaangalia ustaarabu wake..