Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Status
Not open for further replies.
Tuombe mungu kwa kuwa bunduki za algeria zote zimekuja, yacine brahimi na sofiane feghouli hawa jamaa ni nouma
Hakuna cha ajabu hapo hata sisi tunazo bunduki..kama wangekuwa bora sana kupitiliza basi wange twaa kombe la dunia....
 
Nashauri kuwepo dakika 3 za kimya kabla kuunza mechi kuomboleza kifo cha demokrasia Zanzibar.
Pole sana mkuu hilo halitokuwepo...uchaguzi zanzibar ni february ...hivi kuna demokrasia inayozidi kufanya uchaguzi?
 
Mkuu ni kumbushe wakati tunacheza na Malawi nani alikuwa mgeni rasmi?
 
Kama kuna watu wanaiombea balaa nchi sishangazwi na hawa wanao iombea balaa timu yetu.Uzalendo wetu kitabaki kuwa kitu adhimu kwetu.
 
Siasa imekupofusha mkuu..Kamwe unatakiwa kujua kuwa kama ni hasara kimsingi itakuwa yetu sote kumbuka hii timu ina gharamiwa kwa kodi zetu...! amka..

Hata uchaguzi mkuu wa Tanganyika na ule wa Zanzibar uligharamiwa na kodi zetu. Kwa kawaida watu waliojaa dhuluma Mungu huwafanya wawe taifa lisilo na furaha siku zote, hivyo pamoja na mie kupenda kupata furaha ya ushindi lakini kwa vile miongoni mwetu wapo wenye furaha za dhuluma waliyofanya na kufikia kiasi cha kumpeleka "mtu" wao uwanjani wakati wapo ambao bado hata majeraha hayajapona mioyoni mwao naanza kupata fikra kuwa HUDHUNI YAWEZA KUJIRUDIA TENA LEO KAMA ADHABU KWA TAIFA LILILO JAA DHULUMA NA UBABAISHAJI.
 
stars ni timu ya magazetini hawawezi shinda hata nyerere afufuke
 


Michuano ya Kufuzu Kombe la Dunia 2018, Kanda ya Afrika

Novemba 14 2015

Tanzania vs Algeria

Uwanja wa Taifa

Saa 10.30 Jioni

AzamTV LIVE




UPDATES
================================================
================================================
 

Attachments

  • stars.jpg
    54 KB · Views: 1,212
Mkuu ni kumbushe wakati tunacheza na (Nchumbiji) nani alikuwa mgeni rasmi?
sorry kwanza nianze kwa kufanya marekebisho kidogo kwenye comment yangu, nilikuwa na nia ya kusema kuwa akiwepo jk waga hatushindi ila kimakosa nikaandika tunafungwa...! Hivo ata kama kwenye match ya msumbiji mh alikuwepo basi still hatukushinda! Karibu sasa unijuze ulichokuwa unataka kunijuza
 
mpira unadunda na lolote linaweza tokea iwapo stars watajituma vilivyo nakujitahidi kutofanya makosa yakipuuzi tunaweza shinda.
 
Sorry nilitaka kusema malawi...
 
Ni kipigo tu kwa tz,tena ni 3-0,maana hawana namna.
 
Mungu atie neema yake daaaa wakati sisi tunajivunia wakina samata na ulimwengu wao wanaongelea michezaji inacheza uefa champ& cap
 
Tuacheni mawazo finyu.... mpira si siasa..
Leo sisi watanzania tuishangilie timu yetu ila tujue hatushindi. Riyad mahrez mchezaji bora wa pili ulaya so far nyuma ya neymar.
Mfungaji bora ureno ni malgeria.

Jamani "brahim" silipendi lijamaa hili Mungu tuepushie mbali na janga hili
 
_yakiwa yamebakia masaa mafupi kabla ya timu ya taifa stars kushuka dimbani kupambana na argelia katika uwanja wa taifa stadium...

_unazani stars tutaibuka kidedea....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…