Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Hakuna cha ajabu hapo hata sisi tunazo bunduki..kama wangekuwa bora sana kupitiliza basi wange twaa kombe la dunia....Tuombe mungu kwa kuwa bunduki za algeria zote zimekuja, yacine brahimi na sofiane feghouli hawa jamaa ni nouma