Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Status
Not open for further replies.
Mbwana kazingua sana mpaka sasa hawa jamaa hata bao tano wangelamba mazee.
 
Ila tumecheza mpira, hata kama tumekosa sana ila tumecheza sana
 
Linarudi hilo na Munaongezwa. Tanganyika Munapigwa 4-1 leo, kutangulia si Kufika. Mpaka haki yetu Wazanzibar tuipate wenyewe.
 
Pale Haji mwinyi,usiombe ukutane na Farid muxa,ebwana Samatta amka wale 3 na hii kasi ya mchezo simuoni Khalfan Ngassa akiwa benchi.KAMA SIO TAIFA STARS VILE.
 
Kipindi cha pili Stars inapaswa itafute magoli zaidi bila kupunguza kasi...
 
Leo hata kina FaizaFoxy watakuwa wanashangilia Bongo, hakuna kuwatetea waarab wao wanaouwana wenyewe kwa wenyewe kila siku huko ghuba.
 
Last edited by a moderator:
Maguire, Samantha, yondani, bathed, kapombe... ssc asili
 
Naomba maguli aingie centre forwad samata kakosa confidence aende namba 10 maguli ni clinical finisher
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom