Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Penzi limeingiaje kwenye comment yangu, wachaga wenzio hawana mawazo sanaaa ya chini mda mwingi wanafikilia pesa.
Sijamaanisha ulichodhania wewe.
Umesema una mapenzi na Algeria, na swali langu limetokana na ulichokisema.
Au kwa kuwa nimeandika Kiswahili.
Give free love= wape penzi bure.
Samahani kwa hilo!
Wachagga tunazaliana sababu ya mapenzi.
Hakuna asiyewaza mapenzi unless awe kilema wa hormone