Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Hii game tulipoteza kuanzia dk ya 70
Jamaa waliamka Sana mpaka wanapata goal LA pili walikua wametupeleka Sana mchakamchaka
 
Mkuu leo nna bahat na wewe
 
Wakina Nchimbi walichoka walikuwa hawakabi muda wote mpira unachezewa golini kwetu kocha amekaa tu halafu yunafungwa ndio anafanya sub
Mambo ya substitution ni subset tuu ya matatizo ya kocha wetu.
The biggest criticism ya ndariagije ni kwamba katika mashindano haya hakukuwa na utengenezaji wa chances za kufunga unatokana na mkakati uliofanyjwa kazi mazoezini.

Ona hawa wapinzani wa leo...chances were created out of design na sio pure luck.....kufungwa kupo lakini kama timu hawezi kutengeneza nafasi za kufunga kutokana na ujanja na mbinu za mwalimu basi hapo kuna tatizo kwa mwalimu.
 
Pole sana kwa mawazo yako finyu. Hivi unadhani kila mtu ni mushabiki sio. Mm nasema haya nikiwa kama mpenzi wa michezo sio kama nyie mashabiki maandazi kila kitu ni kulaumu tu bila kujua ya kwamba sasa hivi mpira umehamia laboratory.
 
Noooo! Work rate yetu iliyofanya tuka dominate game ilikuwa kubwa mno ndio maana walichanganyikiwa wale. We didn't have new game plan walipobadilika! Hiyo kazi ya nani? Hawa walikuwa wetu kabisa!!
Walikuwa wetu? Kudominate kwa kucheza square pass zisizo na madhara kwa adui? Kuna penetration pass gani ya maana tumeipata........tulipossess ila pasi zilikuwa kwenye eneo ambalo si hatari na wao hawakuwa na pressure wakatuacha tuuchezee tu mpira,angalia tulipoongoza kilichotokea.....
 
Forward kuwa Nchimbi heri kocha angeweka debe la viazi kwenye namba ya Nchimbi tungejua ni viazi
 
Lawama nyingine za kiboya sana... Wachezaji walikuwa wanabutua butua tu... Hawajui kutuliza presha ya adui... Tulipack bajaj baada ya goli la pili.. sisi mpira bado sana
Ukweli ni kwamba wachezaji wa Bongo hawana vipaji vya mpira yaani tunategemea ngekewa tuu lakini wale wasenge wa Guinea wanajua mpira,walipofungwa wamecheza kimashindano wakatafuta goli wakaendelea ku relax.
Tzn tungecheza kama wao pale tulipowatangulia ndio tungekuwa serious yaani watu wanacheza kwa kurelax mkibahatika kuwafunga wanacheza kimashindano then wanarelax tena sie tunabutua butua na kuruka ruka utulivu na control ya mipira hakuna
 
Wakina Nchimbi walichoka walikuwa hawakabi muda wote mpira unachezewa golini kwetu kocha amekaa tu halafu yunafungwa ndio anafanya sub
Mbona iko wazi kiungo chetu kilipotea hasa ndemla na fei toto walipotea hivyo tukabaki tunakaba muda wote na manura akagoma kupoozesha ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…