issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
wadau,leo kuna bonge la mechi kati ya The Flames vs Taifa Stars katika dimba la CCM Kirumba Mwanza.mchezo huo ambao upo katika kalenda ya FIFA utapigwa majira ya saa kumi jioni.nitawaletea kila kitu kinachoendelea hapa dimba la CCM Kirumba Mwanza.
=================
=================
Matokeo ya Mwisho: Tanzania 1 - 1 Malawi (Mbwana Samatta | Mucium Mhone)
=================
=================
Matokeo ya Mwisho: Tanzania 1 - 1 Malawi (Mbwana Samatta | Mucium Mhone)