Technically speaking, not SOME economists but rather MANY economists believe the same especially kama hakuna production. I believe the same as well.
Pamoja na hayo, sizani kama government expenditure kwa hapa Tanzania ndiyo inaweza kuwa ndiyo source kubwa ya inflation. Kwanini nasema hivi....kwanza tuangalie mazingira yanasababisha Government expenditure ku-boost inflation. In short, matumizi makubwa ya seikali yanaongeza money supply kwenye circulation. Tunapozungumza money supply, ni zile fedha zilizomo kwenye mikono ya wananchi (currency in public hands) pamoja na zile zilizo kwenye form ya bank deposits (za wateja) ambazo they can withdrawal on demand!! Hiyo ndio money supply. So, kwavile matumizi makubwa ya serikali yanasababisha kuongeza money supply in the economy than products and/or services offered by the economy, then automatically patatokea mfumuko wa bei coz' public hold alot of money!
Sasa ni mazingira gani ambayo yanaweza kusababisha government expenditure iendee mikononi mwa public? NI pale ambapo matumizi makubwa ya serikali yanafanyika domestically. Lakini ukiangalia hapa nchini, pamoja na kwamba serikali inafanya matumizi makubwa lakini bado pesa hazipo ndani ya uchumi wetu. Kwa mfano, unakuta serikali inatumia billions of dollars kununua magari....ambayo kimsingi yanatengenezwa Japan na sehemu kubwa ya pesa inayotumika kununua magari hayo inaenda kuzunguka kwenye uchumi wa Japan na sio hapa. Na hata kwenye mahitaji mengine ya serikali, bado unakuta matumizi mengi yanafanyika nje ya nchi. Na hii ndio sababu moja wapo inayotufanya tupige mark-time! Laiti matumizi makubwa haya ya serikali yangekuwa yana-circulate within our economy, hivi sasa tusingekuwa hapa!! Ni sehemu ndogo tu ya matumzi ya serikali ndiyo yanayoingia kwenye uchumi wetu na mengi yapo in the form of salary and wages.
I think, even in small economy like ours, public spending induces inflation. To what extent, its debatable. Tanzanian government is the largest employer on the land, and its responsible for major projects that put money into peoples pockets.
Tanzanians arent Japanese. The more you put money into their pockets, the more they will spend. Hence, they will distort the equilibrium of supply and demand and increase the price. Unfortunately, they spend on the products that arent produce locally. So indirectly they add another noise into the economy.
Now concerning the current rate of inflation, I guess there are multiple factors, and therefore, multiple approaches should be taken into consideration. For example, the government should formulate public policies that address long term needs while the central bank should come up with monetary policies for short and immediate solutions.
I dont have financial expertise. So I will try to speculate what government should do. I believe that the government should address transportation infrastructure. For the higher price of oil has significantly increased the cost of transporting commodities and other basic items. Certainly we dont set the price of oil; however, we can improve the transportation infrastructures, in particular railways, which could offset the transportation costs by moving goods in huge quantities.
Increasing government spending in selected areas is one of the public policies that could keep inflation in check. It sounds counter intuitive to what I have said before. But we should remember that agriculture sector is very capital intensive and without well planned subsidies our farmers and peasants wont reach the production level that will lower the price of their products.
Thats what I have in mind today.
Ta-da
Z10