Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Yah ni yeye yuleNamuona kama Said Maulid ndani duh jamaa kaitwa huyu SMG huwa namkubali sana nadhani anacheza soka la kulipwa kule Mos
Huyu Mohammed Abdallah anachezea timu gani maana anawasumbua kweli waganda