Tanzania wacheni propaganda. Michele Obama and kids are in USA. Obama is in Kenya

Tanzania wacheni propaganda. Michele Obama and kids are in USA. Obama is in Kenya

Imekuuma Sana eee. Jamaa kukaa Tanzania kwa siku 8 then Kenya siku 1...!!!. Don't panic man calm down. Obama wuod kogelo ok en ja Tanzania. He came Tanzania for mapumziko kidogo tu na kucheza na wanyama.

May I asked you a single question....!!
Ivi kenya Kuna wanyama ama mbuga za wanyama?
Kwani tena kuna wajaluo huko Tanzania?
 
Kashtuka mama wa watu ana ndoto ya kuwa Raisi wa kwanza mwanamke marekani...kaona akija huko kenya atapigwa "makombora ya kienyeji" kaamua kukaa zake bongo nchi ya amani hadi mume wake arudi ambaye anajua tamaduni za huko na angalau chanjo za kuzuia makombora ya kiafrika anazo

Ahaaa haaa haaa
Umenifanya nicheke sana. Eti makombora ya kienyeji.
 
Hapo vipi?
20180718_115451.jpg
 
Again I will repeat in a slowly so you Tanzania’s can understand. We are not obsessed with Obama even though his father is Kenyan. Hata Leo He is in a small village huko kogello and nobody is bothered. Maisha ina endelea. Point is Tanzania’s are controlled by the govt in a communist way. Propaganda mob, na kazi Kodogo. Obama was not in Tanzania for 8 days as claimed by your govt. believe that. Learn to filter lies and propaganda
Whether Obama stayed in Tz for a day but was here and his family before visited Kogelo even during office he visited Tz before Kenya this is not propaganda take Understood !
 
Halafu ninyi waongoza watalii wa bongo niny!!!!? wageni maarufu wanakuja ninyi ndio mnaonana nao sisi tunasikia tuu kweny mitandao mara walikuja kimyakimya........sasa huwa naangalia baadhi ya clip zenu.....kwanini mnawaimbia wimbo wa Kenya?? Jambo!Jambo Bwana! Habari gani!! nzuri sana... huu wimbo unaitofautisha Tanzania na nchi jirani? mbona tuna njimbo kibao tuu za kuitangaza na zenye asili ya Tanzania 1)Mbuga za wanyama TANZANIA yakwanza ni Serengeti.......) 2. Kilimanjaro, kilamanyaro,nimlima mrefu..... 3.) Tanzania tanzania nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya.......) 4. Tanzania Tanzania......nakupenda kwa moyowote......
 
Back
Top Bottom