Kwani tena kuna wajaluo huko Tanzania?Imekuuma Sana eee. Jamaa kukaa Tanzania kwa siku 8 then Kenya siku 1...!!!. Don't panic man calm down. Obama wuod kogelo ok en ja Tanzania. He came Tanzania for mapumziko kidogo tu na kucheza na wanyama.
May I asked you a single question....!!
Ivi kenya Kuna wanyama ama mbuga za wanyama?
Kashtuka mama wa watu ana ndoto ya kuwa Raisi wa kwanza mwanamke marekani...kaona akija huko kenya atapigwa "makombora ya kienyeji" kaamua kukaa zake bongo nchi ya amani hadi mume wake arudi ambaye anajua tamaduni za huko na angalau chanjo za kuzuia makombora ya kiafrika anazo
Whether Obama stayed in Tz for a day but was here and his family before visited Kogelo even during office he visited Tz before Kenya this is not propaganda take Understood !Again I will repeat in a slowly so you Tanzania’s can understand. We are not obsessed with Obama even though his father is Kenyan. Hata Leo He is in a small village huko kogello and nobody is bothered. Maisha ina endelea. Point is Tanzania’s are controlled by the govt in a communist way. Propaganda mob, na kazi Kodogo. Obama was not in Tanzania for 8 days as claimed by your govt. believe that. Learn to filter lies and propaganda