Sasa wewe si mzee, ukishastaafu automatically uko isolated.
"Wagonjwa wote waliyobaki (131) hali zao ni nzuri isipokuwa Wagonjwa 4 wanapatiwa matibabu ya Wagonjwa mahututi kutokana na kusumbuliwa na matatizo mengine ya kiafya."
Hii ni kejeli na dhihaka pamoja na jitihada zako zinazolenga kuwatia watu hofu
Nchi haina dini lakini raia wake wana dini. Unaelewa maana ya dua fupi kabla vikao vya bunge havijaanza?.Sawa mkuu ila religious belief zina wakati wake sio wakati huu, let us be serious .....tena hii Tanzania ni republican state sio theological state kama Saud arabi serikali haina Dini......sema tu JPM hujitambui wala hajui masuala ya dini mwisho wake ni upi? Is a right person in the wrong place
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia uzuri wa Mwenyezi Mungu hapotezi muda wake kupokea rushwa za kumsifu na pia mnafiki na asiye mnafiki anajua yeye.Uzuri wa Mwenyezi Mungu huwa hapotezi muda wake Kusikiliza Maombi ya Kinafiki kutoka kwa Mwamba wa Unafiki nchini.
Umenikumbusha jamaa yangu aliwai niambia ukimuona simba anakufata badala ya kukimbia wewe unapiga magoti ukimuona Mungu akusaidie, utageuka lunch au dinner ya simba.
Mungu wako ni tofauti na yule wa Waitaliano?Watanzania Mungu wetu ni mwema
Hakimu Mfawidhi,
Hello mkuu hatuwezi fika peak kama hamuna lockdown.
Kama tutaendelea hiv kufika peak maana wote tuwe tutest positive na covid 19
Mbona mna argument za ajabu ajabu sana? Mtu akisema au kuiombea Tz mnalinganisha na Waitaliano kwani wao ndo reference? Tuna refer Bible hta kama baadhi ya waandishi walitokea huko. Wanaweza wakawa wametuletea dini na sisi tukaipokea na tukaomba kivyetu kwa imani yetu na Mungu akatuponya kwa imani yetu. Kwa hyo msikariri kila mtu anakuja na sentensi moja hata kusumbua akili na kufikiria hakuna. Kila mtu anaomba kwa imani yake binafsi. Ndo maana hata yule kipofu alieoponywa na Yesu aliambiwa Imani yako imekuponya so suala la Imani sio suala mtambuka ni personal. So kila mtu akiomba kwa Imani yake tutupona Mungu atatusikia.Mungu wako ni tofauti na yule wa Waitaliano?
Tujiongeze
Hivi katika takwimu za jumla ya walioambukizwa, hivi naye ni miongoni mwao ama?Mwana efu ei yuko wapi jamani? Alisema haka kaugonjwa hakafui dafu kwa Maleria
We jamaa kumbe ni mjinga ehee!LICHADI,
Hao akina Mseveni na Kenyatta je wamefanikiwa kuzuia maambukizi? Kila nchi inafanya mikakati yake ya kuzia maumbukizi. So far hakuna njia iliyothibitishwa kuwa inazuia maambukizi kwa 100%.
Mekariri kufunga mipaka utadhani ndio suluhisho la maambukizi. Suluhisho sahihi ni kumuomba Mungu na kufuata njia sahihi za kujikinga na maambukizi.
Hivi virusi havina boundaries aisee. Utawafungia watu ndani lakini njaa itawatoa nje. Hakuna anayeweza kuvumilia kukaa ndani huku ana njaa.
Kama hao wanaojitosheleza wakiamua kukaa ndani hao wasikini watapata hizo kazi za kuwapatia kipato?Unauhakika huko ndani ya nyumba zao watu hawafi kwa magonjwa mengine au corona enyewe pamoja na njaa? Hivi umejiuliliza ni janga gani litaloweza kufuatia baada ya lockdown? Halafu kwa nini uone kuwa hatua tulizochukua sisi kama taifa hazifai mpaka utake tufanane na Uganda? Wewe badala ya kushauri watu wafuate maelekezo ya wataalamu wa afya unataka watu watibu janga kwa kuzalisha majanga mengine.
Sijui kama umewahi jiuliza ni masikini wangapi watakao kufa kwa njaa na msongo wa mawazo endapo nchi yetu itawekwa lockdown, sijui kama umewahi jiuliza ni watoto wangapi wa masikini watakao kufa kwa utapiamlo endapo nchi yetu itawekwa lockdown.
Binafsi sipendi kuona watu wakizagaa ovyo barabarani au kukusanyika ovyo masokoni na minadani bila kuchukua tahadhari, ila ni vyema kwa wale waliojitoshekeza kwa mahitaji yao wakajifungia ndani ili kupunguza msongamano barabrani na masokoni na kuwaacha wale masikini wanaotafuta ridhiki za kila siku wajitafutie mkate wao ili wasife kwa njaa.