Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

"Wagonjwa wote waliyobaki (131) hali zao ni nzuri isipokuwa Wagonjwa 4 wanapatiwa matibabu ya Wagonjwa mahututi kutokana na kusumbuliwa na matatizo mengine ya kiafya."
 
Miluzi mingi huwa inampoteza mbwa.....
Kwa taarifaa zisizo rasmi wanasema Corona inashika Kasi kweny haya maeneo hapa jijini dar es salaam.....
Bunju, Boko, Mbezi beach, Masaki.

Nakumbuka MIAKA kadhaa iliyo pita Kuna Documentary ya WAISLAM,
Kuna shehe,
Mmoja wa hapa Tanzania alitoa hii documentary AKIELEZEA FREEMASON,
KUTENGENEZA UKIMWI WA HEWA.....
Sasa huu ndio UKIMWI unao enezwa kwa hewa.
Wasalam,
 
Tusiwe na taharuki, Virusi Aina DNA baadhi tumekua tukitumia dawa ya acyclocir Kama broad spectrum ant viral.

Kwa sasa tuna kirus Aina ya RNA hivo basi dawa Aina ya Remdesvir ipo kwenye majaribio na inatia matumaini

Remdesvir ni nucleotide analogue- to be specific ni adenosine analogue

Acyclocir ni nucleoside analogue, so logic hapa ni kwakua acyclocir tangu mwaka 1974 imekua mkombozi Kama broad spectrum ant viral Kwa Virusi Aina ya DNA, basi Remdesvir itasaidia kuinterupt premature termination ya kirusi Covid19 ambacho ni Aina ya RNA

Kwa logic hiyo basi binafsi nipo hopeful ndani ya miezi 6 vita hii tutaishinda.

Natanguliza Samahani Kwa usumbufu utakao jitokeza kutokana na maneno ya kitaaluma yaliotumika.
 
Sawa mkuu ila religious belief zina wakati wake sio wakati huu, let us be serious .....tena hii Tanzania ni republican state sio theological state kama Saud arabi serikali haina Dini......sema tu JPM hujitambui wala hajui masuala ya dini mwisho wake ni upi? Is a right person in the wrong place

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi haina dini lakini raia wake wana dini. Unaelewa maana ya dua fupi kabla vikao vya bunge havijaanza?.

Unaelewa maana ya sala fupi kutoka kwa viongozi mbalimbali wa dini kabla rais hajaanza mikutano yake?.

Jitahidi usome haya mambo kwani ni mapana sana.
 
Uzuri wa Mwenyezi Mungu huwa hapotezi muda wake Kusikiliza Maombi ya Kinafiki kutoka kwa Mwamba wa Unafiki nchini.
Pia uzuri wa Mwenyezi Mungu hapotezi muda wake kupokea rushwa za kumsifu na pia mnafiki na asiye mnafiki anajua yeye.
 
Hakimu Mfawidhi,
Hello mkuu hatuwezi fika peak kama hamuna lockdown.

Kama tutaendelea hiv kufika peak maana wote tuwe tutest positive na covid 19

Peak itafikiwa with or without lockdown, testing, etc etc Tatizo ni ukubwa wa madhara ya ugonjwa baada ya pandemic kupita.
 
Mungu wako ni tofauti na yule wa Waitaliano?

Tujiongeze
Mbona mna argument za ajabu ajabu sana? Mtu akisema au kuiombea Tz mnalinganisha na Waitaliano kwani wao ndo reference? Tuna refer Bible hta kama baadhi ya waandishi walitokea huko. Wanaweza wakawa wametuletea dini na sisi tukaipokea na tukaomba kivyetu kwa imani yetu na Mungu akatuponya kwa imani yetu. Kwa hyo msikariri kila mtu anakuja na sentensi moja hata kusumbua akili na kufikiria hakuna. Kila mtu anaomba kwa imani yake binafsi. Ndo maana hata yule kipofu alieoponywa na Yesu aliambiwa Imani yako imekuponya so suala la Imani sio suala mtambuka ni personal. So kila mtu akiomba kwa Imani yake tutupona Mungu atatusikia.

Na hapa tukisema tusali au mtu asali sio ndo kwamba watu wanaacha kutake precautions. Kama mimi sijaenda kanisani au kwenye mikusanyiko ya aina yoyote toka ugonjwa utangazwe kuingia nchini lakini sio kwamba siombi kwa Mungu anilinde huku naendelea kujikinga. Hata huko Italia wanaomba kwa wakati wao acha sisi pia tuombe
 
LICHADI,
Hao akina Mseveni na Kenyatta je wamefanikiwa kuzuia maambukizi? Kila nchi inafanya mikakati yake ya kuzia maumbukizi. So far hakuna njia iliyothibitishwa kuwa inazuia maambukizi kwa 100%.

Mekariri kufunga mipaka utadhani ndio suluhisho la maambukizi. Suluhisho sahihi ni kumuomba Mungu na kufuata njia sahihi za kujikinga na maambukizi.

Hivi virusi havina boundaries aisee. Utawafungia watu ndani lakini njaa itawatoa nje. Hakuna anayeweza kuvumilia kukaa ndani huku ana njaa.
We jamaa kumbe ni mjinga ehee!
 
Unauhakika huko ndani ya nyumba zao watu hawafi kwa magonjwa mengine au corona enyewe pamoja na njaa? Hivi umejiuliliza ni janga gani litaloweza kufuatia baada ya lockdown? Halafu kwa nini uone kuwa hatua tulizochukua sisi kama taifa hazifai mpaka utake tufanane na Uganda? Wewe badala ya kushauri watu wafuate maelekezo ya wataalamu wa afya unataka watu watibu janga kwa kuzalisha majanga mengine.

Sijui kama umewahi jiuliza ni masikini wangapi watakao kufa kwa njaa na msongo wa mawazo endapo nchi yetu itawekwa lockdown, sijui kama umewahi jiuliza ni watoto wangapi wa masikini watakao kufa kwa utapiamlo endapo nchi yetu itawekwa lockdown.

Binafsi sipendi kuona watu wakizagaa ovyo barabarani au kukusanyika ovyo masokoni na minadani bila kuchukua tahadhari, ila ni vyema kwa wale waliojitoshekeza kwa mahitaji yao wakajifungia ndani ili kupunguza msongamano barabrani na masokoni na kuwaacha wale masikini wanaotafuta ridhiki za kila siku wajitafutie mkate wao ili wasife kwa njaa.
Kama hao wanaojitosheleza wakiamua kukaa ndani hao wasikini watapata hizo kazi za kuwapatia kipato?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom