Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
tuna marais zaidi ya wawili ndugu...umesahau rais wa Sudan Kusini na rais wa Somalia wote wanaishi nchini kutokana na hali ya usalama nchini mwao...A country with two seating Presidents... Labda Magufuli akiongea vzr na best yake Rais Raila inaweza serikali yake ikalipa.
Hamna uwezo wankulipa ninyi, njaa imewazidi sana, tuliwauzia mahindi mwaka 2014 hadi leo hamjalipa, bahati nzuri yale mahindi yalitoka katika hazina ya chakula ya taifa, ni biashara kati ya serikali kwa serikali, sio private sector kama ilivyo hili la Uchumi supermarket, otherwise mngelazimishwa kulipa hilo deni haraka sanawamesahau omba omba wao wamejaa kule Nairobi na vikombe vyao..... wengine wapo nje ya supermarkets hizo hizo wakiomba omba wakenya😀😀😀😀...ila deni litalipwa na Uchumi msijali...hizo hela ndogo sana😀😀ungesema 1 Billion dollars hapo ndio taabu...unajua currency yenu ni kama tu kinyesi...matrilioni ya pesa ukibadilisha unapata kumbe tu ni 2.3Billion KSH😀😀
Hivi kati ya Somalia na Kenya, wapi usalama ni mzuri zaidi?, huwa hizi nchi zinalingana sana kiusalama na hali ya upatikanaji chakula hadi ninashindwa kuzitenganisha.tuna marais zaidi ya wawili ndugu...umesahau rais wa Sudan Kusini na rais wa Somalia wote wanaishi nchini kutokana na hali ya usalama nchini mwao...
Hivi madeni ya kampuni binafsi yalipwe na serikali ya kenya?
Kwani wao waliwa guarantee?
Haya
Kweli kabisa mkuu hebu muwalipe wazungu wa N.America deni ya bombardier.dawa ya deni ni kulipa.
Rubbish ndugu umeongea,ushasema Rais wa Sudan Kusini na Rais wa Somalia,kwani hizo nchi ni Kenya?tuna marais zaidi ya wawili ndugu...umesahau rais wa Sudan Kusini na rais wa Somalia wote wanaishi nchini kutokana na hali ya usalama nchini mwao...
Mbona viongozi wenu wanaleta issue za Kipuzi for cheap PR kwa bilateral trade meetings?
The frosty trade relations between Kenya and Tanzania could get worse after the latter demanded payment of a Sh2.3 billion debt owed by Uchumi Supermarket.
Tanzania wants the Kenyan Government to take responsibility for the debt to its suppliers racked up by the struggling retailer’s Tanzanian subsidiary that was shut in 2015.
This was one of the top agenda of a four-day bilateral trade meeting between the two countries held in Mombasa. The meeting had been called to discuss the waning relations between Nairobi and Dar es Salaam but saw the issue of Uchumi and Nakumatt supermarkets sneaked into the agenda.
TANZANIA WANTS KENYA TO PAY KSHS2.3 BILLION UCHUMI SUPERMARKET DEBT - Corporate Digest
Wakenya madeni yatawaua yaani deni mnalodaiwa na TZ ni $22.56ml.
Bado madeni mengine meengi tunawadai. Lipeni pesa zetu tuendelee na ujenzi wa SGR.
We don't need bla bla we need our money. Ziingie kwenye mzunguko wetu. Na kuna madeni mengine mengi ya mahindi tuliwakopesha 2014 wakati mkiwa na njaa mpaka leo hamjatulipa.Mbona viongozi wenu wanaleta issue za Kipuzi for cheap PR kwa bilateral trade meetings?
Badala ya kupanga jinsi vipi wafana biashara wa Tz watauza bidhaa Kenya kwa miaka kumi ijayo, mnataka kuzulia mkutano a siku nne na issue ndogo ambayo tayari ilikua inatatuliwa bila shida, now that mumeingiza drama kwa hii issue, keya inaeza kuamua ku delay kuwalipa out of spite.
We always pay our debt, As soon as Cabinet is sworn in the rest of the money will come
Kenya approves Sh6bn to pay Uchumi suppliers
Hamna jeuri ya kukataa kuilipa Tanzania, sisi ndiyo tunaoamua nini kifanyike katika ukanda huu, kama tulitaifisha ng'gombe zenu na serikali yenu imeshindwa hata kuja kufuatilia badala yake ikawalipa fidia wafugaji waliopoteza mifugo yao, vipi unataka kusema mnaweza kukataa kulipa?Mbona viongozi wenu wanaleta issue za Kipuzi for cheap PR kwa bilateral trade meetings?
Badala ya kupanga jinsi vipi wafana biashara wa Tz watauza bidhaa Kenya kwa miaka kumi ijayo, mnataka kuzulia mkutano a siku nne na issue ndogo ambayo tayari ilikua inatatuliwa bila shida, now that mumeingiza drama kwa hii issue, keya inaeza kuamua ku delay kuwalipa out of spite.
We always pay our debt, As soon as Cabinet is sworn in the rest of the money will come
Kenya approves Sh6bn to pay Uchumi suppliers
Story nyingi bila proof,We don't need bla bla we need our money. Ziingie kwenye mzunguko wetu. Na kuna madeni mengine mengi ya mahindi tuliwakopesha 2014 wakati mkiwa na njaa mpaka leo hamjatulipa.
How can we do business while GOK don't pay our people.
Lipeni kwanza ndio tuingie mezani kuongea.
Kawaida watanzania mna argue kutumia emotions badala ya akili, kutaifisha ng'omb kadhaa zilizoingia Tz ndo kunakupata kajeuri wakati tunawauzia bidhaa mara dufu kuliko mnachotuuziawakati mmebania bidhaa zetu, je mkituachia bila rstrictions si tuafunika market nzima ya Tanzania.... Mwiho wa siku, ni wakulima, wafanyi biashara wa Tz ndo wataumia, sisi huku kenya tutafanya juhudi zozoteincluding sleeping with the enemy ili tulinde kampuni zetu,wakulima wetu, wafanyibiashara wetu..... Mkitaifisha ng'ombe utawafidia wakulma wanunue zengine, UK ikiban miraa, tutawaidia wakulima apandemimeaa mingine, maziwa yakiaribika tutawalipa wakulima fidia, kampuni kama Uchumi ikifilisika, tutawalipa suppliers wote!Hamna jeuri ya kukataa kuilipa Tanzania, sisi ndiyo tunaoamua nini kifanyike katika ukanda huu, kama tulitaifisha ng'gombe zenu na serikali yenu imeshindwa hata kuja kufuatilia badala yake ikawalipa fidia wafugaji waliopoteza mifugo yao, vipi unataka kusema mnaweza kukataa kulipa?
Kiukweli kinachoendelea ni kujaribu kuwachokoza ili tuone mtakavyo react, lengo tufunge mpaka ili tuwa cut off na soko la SADC ambalo mnalitegemea sana.
Usisahau na wewe kulipa deni la bombadia.. zimifikia 3 ziminaswa[emoji574] [emoji574] [emoji574]Halafu jamaa tunawadai wanakuja kutupigia kelele humu. Wanatakiwa walipe madeni yetu. Tunawadai madeni kibao, bado madeni ya TANESCO.
Mmikwama...[emoji196] [emoji83] [emoji574] [emoji574] [emoji574]How does that matter of bombardier involved katika deni tunalowadai nyie wakenya? Lipa deni kwanza and the issue of our madeni tutaiwayo haiwahusu. You just pay madeni tunayowadai full stop