Tanzania wants kenya to pay kshs2.3 billion uchumi supermarket debt

Tanzania wants kenya to pay kshs2.3 billion uchumi supermarket debt

Mmikwama...[emoji196] [emoji83] [emoji574] [emoji574] [emoji574]
Too much talking ndo imiwacose.
Babaenyu anajifanya anajua sana kubuild country.. but he fail. Total fail[emoji196]

nyie ndo zenu kuwalalamikia marais wetu. hata nakumbuka JK alivyokuwa madarakani mlimlaumu sana. mkawa mnasema anairudisha nchi kwenye ujamaa. na huyu tena naye mnamlaumu. yaani NYIE hamna jema. uzuri marais wetu hawasumbuliwi na hilo.
 
Kenya mwaka huu mmepatikana, mbongo akikudai ni shida[emoji23][emoji23].
 
nyie ndo zenu kuwalalamikia marais wetu. hata nakumbuka JK alivyokuwa madarakani mlimlaumu sana. mkawa mnasema anairudisha nchi kwenye ujamaa. na huyu tena naye mnamlaumu. yaani NYIE hamna jema. uzuri marais wetu hawasumbuliwi na hilo.
Si ni ma[emoji83] [emoji84]
 
Story nyingi bila proof,

Kawaida watanzania mna argue kutumia emotions badala ya akili, kutaifisha ng'omb kadhaa zilizoingia Tz ndo kunakupata kajeuri wakati tunawauzia bidhaa mara dufu kuliko mnachotuuziawakati mmebania bidhaa zetu, je mkituachia bila rstrictions si tuafunika market nzima ya Tanzania.... Mwiho wa siku, ni wakulima, wafanyi biashara wa Tz ndo wataumia, sisi huku kenya tutafanya juhudi zozoteincluding sleeping with the enemy ili tulinde kampuni zetu,wakulima wetu, wafanyibiashara wetu..... Mkitaifisha ng'ombe utawafidia wakulma wanunue zengine, UK ikiban miraa, tutawaidia wakulima apandemimeaa mingine, maziwa yakiaribika tutawalipa wakulima fidia, kampuni kama Uchumi ikifilisika, tutawalipa suppliers wote!
Mbona unazungumza kama uliyeshiba miraa?, mimi ninazungumzia kama Kenya ina jeuri ya kukataa kulipa deni la Tanzania kama ulivyotishia hapo juu, nimesema hamna jeuri hiyo ya kutunishia msuli Tanzania, ila sisi tunaweza kuwafanya tupendavyo na msiweze kutufanya lolote kama ambavyo tumewafanyia katika sakata la Ng'ombe, vifaranga, kuzuia safari za KQ, kuwafukuza wakenya wanaoishi Tanzania, na mengine mengi tu

Tanzania inafanya biashara kubwa na nchi za SADC kuliko inavyofanya na nchi za EAC, kwahiyo soko la EA ni secondary kwetu, wakati Kenya EAC ni primary kwa hapa Africa, kwasababu hiyo, Kenya needs Tanzania more than otherwise. Kwasasa hivi Kenya inanunua zaidi bidhaa za Tanzania kuliko Tanzania inavyonunua toka Kenya, investors wa Kenya wanawekeza zaidi Tanzania kuliko nchi zote za Africa, tukiwafukuza uchumi mzima wa Kenya utatikisika, walichukua mikopo toka Bank zenu kuja kuwekeza huku.
 
How does that matter of bombardier involved katika deni tunalowadai nyie wakenya? Lipa deni kwanza and the issue of our madeni tutaiwayo haiwahusu. You just pay madeni tunayowadai full stop
Hawana pesa wanajaribu kupotezea kwa ujanja ujanja, hiyo debt ya 60%, pesa ya Tanzania ukiongeza na yale mahindi ya 2014 huenda ikafika 10% ya hilo deni, stupid Economy ya makaratasi
 
serikali inahusikaje na madeni ya kampuni?
 
Basi lipeni. Sasa mnadaiwa halafu mnaanza kupiga kelele dawa ya deni kulipa. Hata kama ni pesa kidogo. Maadamu kuwa ni deni ni lazima ulipe bro ili siku nyingine tuweze kukukopesha. Na kunamadeni kibao tukiyaweka hapa utajionea aibu.
Hehehe sasa unamwambia huyo homeless alipe deni wakati hapo alipo ni free WiFi zone uhakika wa unga tu ni 6 out of 100 sidhani kama anakuelewa.
 
Kwani Uchumi Supermarket ni Kampuni ya serikali ya Kenya? Sometimes watanzania ni watu wa kukurupuka sana, sijui Kwanini siku za karibuni tumekuww tunapenda sana chokochoko na hawa ndg zetu!
Acha ukunya,wenye share kubwa pale ni Kenyan govt
 
Ni vema ungesima vizuri kabla hujajibu chochote, Uchumi its a company na ina share holders na miongoni mwa shareholders ni Kenyan government na ndo main shareholder ambapo according to Company Laws, main shareholder ndo director au kwa simple Language yeye ndo boss. A company is a legal person thus can sue and can be sued, Uchumi is being sued to pay the debts but who to be sued to represent the company? jibu ni shareholders and directors thus Kenyan government inabeba liability.. Ni legal matter kwahyo kama huna uelewa wowote wa Laws huwezi elewa hili suala kwa kuliangalia kisiasa. Unadhani Serikali ya Tz hadi kufika huko wamekurupuka tu mzee???. they are knocking at a right door legally

Kwanza limited liability company liability inabaki kwa Company yenyewe na assets zake. Haihusu mali za shareholders
Ikifilisika zinauzwa mali zake kufidia madeni na sio mali za shareholders. Hio ndio company law inavosema usipindishe.

Pili Uchumi ni Public listed company. Kenya goverment in hisa 14% only
Share wakubwa ni Jamii Bora bank wakiwa na 15.8%
Share ziliobaki ni za watu binafsi na wanahisa kupitia soko la hisa EA.

Kwa Taarifa yako Company ni mfano wa mtu. Linaweza kushtaki n kushtakiwa ni legal person .
Unaposajili company yako Brella unaandaa masharti ya kampuni yako Memorandum and articles of association...unapewa certificate of incorporation ....hapo tayari unakuwa kampuni yenyewe inakua a legal person.
Shareholders wataweza kushtakiwa kwa makosa ya jinai kupitia kampuni yao. Kufilisikia , kushindwa kampuni kujiendesha , kushindwa kulipa wadeni kinacho lipa madeni hayo ni Assets zake .

Hapa serikali imeweka sharti ambalo ni gumu kama vile take it or leave it....unless madeni hayo sio mengi Kenya wanaweza kulipa kwa sababu wao wanauza kwetu zaidi kuliko sisi. Lakini wanaweza kukataa pia.
 
Kwanza limited liability company liability inabaki kwa Company yenyewe na assets zake. Haihusu mali za shareholders
Ikifilisika zinauzwa mali zake kufidia madeni na sio mali za shareholders. Hio ndio company law inavosema usipindishe.

Pili Uchumi ni Public listed company. Kenya goverment in hisa 14% only
Share wakubwa ni Jamii Bora bank wakiwa na 15.8%
Share ziliobaki ni za watu binafsi na wanahisa kupitia soko la hisa EA.

Kwa Taarifa yako Company ni mfano wa mtu. Linaweza kushtaki n kushtakiwa ni legal person .
Unaposajili company yako Brella unaandaa masharti ya kampuni yako Memorandum and articles of association...unapewa certificate of incorporation ....hapo tayari unakuwa kampuni yenyewe inakua a legal person.
Shareholders wataweza kushtakiwa kwa makosa ya jinai kupitia kampuni yao. Kufilisikia , kushindwa kampuni kujiendesha , kushindwa kulipa wadeni kinacho lipa madeni hayo ni Assets zake .

Hapa serikali imeweka sharti ambalo ni gumu kama vile take it or leave it....unless madeni hayo sio mengi Kenya wanaweza kulipa kwa sababu wao wanauza kwetu zaidi kuliko sisi. Lakini wanaweza kukataa pia.
Kuna maelezo unaenda sawa lakini kunamaelezo mengine unachemka kidogo. Je umewahi kusikia ndege ya Tanzania imekamatwa huko Ulaya kwa sababu ya kudaiwa? Kama ndiyo kwanini?
 
Kuna maelezo unaenda sawa lakini kunamaelezo mengine unachemka kidogo. Je umewahi kusikia ndege ya Tanzania imekamatwa huko Ulaya kwa sababu ya kudaiwa? Kama ndiyo kwanini?
Khaa nimekupata bro. hiyo option ipo mezani Kwa Magu zile Embraer zinalipa kabisa deni. ☝
 
Back
Top Bottom