zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Saa 8 usiku unafuata nini Buguruni kwenye Dangulo huko ndio kwenye Msikiti? Wateja wanaowahudumia wengi wao hua wanavaa km ulivyovaa yaan kanzu na baragashea hilo pia hulijui?Mtu ambaye hana changamoto za maisha hawezi kwenda kujiuza Buguruni hadi saanane usiku.
Kwahio na wanaonunua wana maisha mazuri sana ? 🤣Kwahio na wanaonunua wana maisha mazuri sana ?
Maisha Bongo ni magumu watu hawana basic needs that is a fact..., ila hicho sio kipimo sababu ni huduma kama huduma nyingine (Oldest Profession in the World);
Ulienda kuwatisha, haya sasa wamekupa uhalisia
taja nchi amabayo hakuna watu wanaojiuza usikuJana nilikuwa nimevaa Kofia (bagharashia) pamoja na kanzu.
Ila Malaya wanaojiuza waliponiona nimepita Buguruni usiku saanane waliniita ili nikawaungishe.
Ebu fikiria huu ni ujasiri wa aina gani?. Peoples are broke
Mtu ambaye hana changamoto za maisha hawezi kwenda kujiuza Buguruni hadi saanane usiku.
Kwamba wavaa kanzu na baragashea ndio wateja wazuri wa dadapoa?Nimekuwa nikilifikiria hili saana.
wavivu na wanyonge kiuchumi hushangaa kila kitu 🐒Jana nilikuwa nimevaa Kofia (bagharashia) pamoja na kanzu.
Ila Malaya wanaojiuza waliponiona nimepita Buguruni usiku saanane waliniita ili nikawaungishe.
Ebu fikiria huu ni ujasiri wa aina gani?. Peoples are broke
Mtu ambaye hana changamoto za maisha hawezi kwenda kujiuza Buguruni hadi saanane usiku.
Hajui kwamba kabla ya azana ya saa 10 wapo wenzie ambao wanapitia hapo kwanza kukata stimu ndio maana aliposogelea wakajua ndio wale wale wateja wao wa kila sikuHahhaa kuna wengi wanaenda hapo kama wewe pengine!
Hawataki kuumiza vichwa na kutumia nguvuAnajiuza kwasababu kichwani kakosa maarifa ya kutafuta pesa bila papuchi yake na maadili hafifu yaliyokosa hofu ya Mungu