Tanzania: Why Kikwete & CCM are culpable of religious intolerance in the nation?

Tanzania: Why Kikwete & CCM are culpable of religious intolerance in the nation?


I have read it and I am saying there is no such thing as a Christian hegemony in Tanzania. If there was such a thing then no Muslim would rise to any prominent post within the country but we see in Tanzania that once religion is not a hindrance to succeed. If for the past 7 years the president has been a Muslim, if there are a number of Muslims in prominent positions within the ruling system and still Muslims claim a "Christian hegemony" (which to me does not exist) then Muslims should point fingers to their own brethren in government.
 
Based to what Mr.Top said the first time he addressed House of Parliament; I quote "Nimekipata nilichokuwa nakitafuta" referring to the presidential post; I doubt if the man really does sympathize with us on this matter.
 
Ukiwekeza katika ujinga matokeo yake huwa yanafanana sana na haya yanayojitokeza kila uchao au zaidi na mabaya zaidi ya haya.

Watu kujudge others because of their religion, tribe, color, watu kupigania haki ya kuchinja, matokeo ya shule za msingi na sekondari kuwa na idadi kubwa ya waliopata 0, taking into consideration that, kupata 0 ni tofauti na kufeli, kwa maneno mengine ni zaidi ya kufeli, watanzania waliowengi kupenda udaku, watanzania kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu mara ooh ni freemasons na upuuzi mwingine.

Kama unaangalia baraza la mawaziri kwa jicho la waislam ni wengi kuliko wakristo then una tatizo, kama unadhani hizi chokochoko zinasababishwa na kundi fulani la dini then unaishia njiani hufiki kwenye chanzo cha matatizo, unajaribu kutibu dalili za ugonjwa na sio ugonjwa wenyewe.

Na kwa fikra hizi then tunamatatizo mengi sana huku tuendako.
what the future holds kwa hawa zaidi ya 60% waliopata 0? Kesho wakimpata mtu akiwaambia walifeli kwa sababu ya dini zao au kwa sababu baraza la mawaziri au la mitihani na wizara husika ilijaa watu wa dini tofauti na zao ndio maana walifelishwa, hebu imagine the kind of society tutakayokua nayo.

Halafu hivi ni jamii ya namna gani inayobinafsisha elimu halafu itarajie watu wasipiganie kuchinja nyama? Wasipigane kwa sababu mjinga mmoja kakojolea kitabu?

Ubongo wa mjinga ni kama bendera, inafuata uelekeo wa upepo tu, hauna kitu zaidi ya madudu, unaweza kupokea chochote kile kinachopitia kwenye milango ya fahamu na kikanasa humo bila kuchanganuliwa, anachoweza kuchambua mjinga ni NANI kasema nini, nani kafanya nini, huyu aliyesema je ni wa dini yangu? au kabila letu? unaishia kuchambua watu tu, ooh fulani yuko hivyo kwa sababu ni freemason na ukizidi kidogo utachambua matukio (immediate events) na baada ya siku mbili watasahau au kutakua na tukio jingine la kulipigia soga.

Asili ya dini zote ni upagani na lengo lake kuu ni kuwatawala watu, ni elimu pekee inayoweza kuokoa jamii yetu, tena sio hii ya St.nani sijui, haina msaada na sisi, hata hao wanaoitwa wamefaulu kutoka kwa hizi shule za spoon feeding hawatakaa wakaishi kwa amani kama wa shule za kata hawatakua na amani ya kweli.

Na kwa jamii inayowekeza kwenye Ujinga itatoa wapi viongozi weledi?atatoka huyu atakuja mwingine story zitaendelea kuwa zilezile ( same shit,different ass-hoe) na huyo mungu anayesababisha watu wachukiane, wanyoosheane vidole na kupigana risasi kwa majina yake mengi tu,yuko wapi? Mbona hana msaada when he is most needed? Kama yupo (au wapo) then he has already left Africa!
 
JK cant take bold decisions such that even those who initiate chaos know it!
 
uchambuzi wako huu nimeuelewa japo mara nyingi nakuchukulia kama propagandist wa CCM .Nimeshangaa kwamba hadi unafahamu dhamira ya ndani ya JK kwamba anataka mrithi wake asiwe Mkristo.

Kikwete hana uwezo wa kulimaliza swala la udini ,labda anachoweza saidia ni kuliendeleza zaidi ,kwa sababu anaamini kwa kuendeleza udini inaweza kuwapa faida watu wa dini yake ya kufikia malengo yao ambayo anaamini yamekwamishwa na mfumo Kristo(maoni yangu tu)

Vinginevyo wewe ni mtu mwenye uelewa mpana na itakua na manufaa kama uchambuzi wako utatanguliza maslahi ya umma kama ulivofanya katika hii thread.
 
As far as i'm concerned nothing will be done by Kikwete and his government
Tunajua the dirty tricks za Kikwete za kutumia udini lakini ni kwa sisi sasa wananchi kuyaelewa hayo wala si kwa Kikwete na CCM kwani wao wanajua vizuri sana nini walifanya.
Let us now live with it.......
 
Tusimlaumu sana Kikwete; yeye ndiye kiongozi wetu tuliyemchagua kwa ridhaa zetu kulingana na rekodi zilizopo. Viongozi wetu ndiyo reflection yetu, na kama hakuwa tunakubaliana na uongozi wake baada ya kutuongoza miaka mitano, tulikuwa na nafasi ya kuonyesha hivyo lakini tulikaa kimya. Tulifundisha kuwa kuwa huwa tunavuna tulichopanda, kama tumelima bangi, basi tusilazimsha kuvunga mpunga tena. Kwa nchi maskini kama zetu, wanasiasa wengi sana hawaangalii legacy gani wataacha kutokana na madaraka, bali huangalia namna gani watanufaika na madaraka hayo. Tuliye naye tunajua ni nini alikuwa akitafuta miaka kumi yote tangu mwaka 1995 kwani leo hii ukoo wake umekuwa tajiri sana wakati nchi imebaki haina mwelekeo
 
Pamoja na viingereza vyenu vizuri lakini bado hoja zenu zimejaa udhaifu wa hali ya juu huku ikionekana wazi kwamba hoja zenu ama zinatokana na chuki na mtu au jamii fulani ya watu au mnasukumwa na personal/groups interests!!
 

With a number of killings and
threats posed by gangs of Islamic radicals in Zanzibar, and knowing my government is long on lip-service but short on tangible commitment, I will think twice now to even contemplate setting my foot in zenji because I no longer consider myself welcomed there. And I believe this perception is shared by many a Christian.
Rutashubanyuma,
Una uhakika gani kwani wale wanaohusika ni Waislamu(regardless kwamba ni radicals or not?) Mtu yeyote aliye makini hawezi ku-jump into conclusion just kwa kuangalia viashiria....!! Kupigwa risasi padri ama kuchomwa makanisa peke yake hakutoshelezi ku-conclude kwamba wahusika wanafanya wafanyayo with inner most religious purpose. Mtu aliye makini ata-hypothesise the situation na kuzama kwenye uchunguzi!

Mathalani, tumeshuhudia mara kadhaa Jumuiya ya Uamsho wakiipigania Zanzibar yao! Ni bahati mbaya sana kwamba kwavile jamii kubwa ya Ki-Zanzibari ni ya Kiislamu basi harakati zozote ndani ya Zanzibar lazima zihusishe Waislam. Sasa kwa mtu makini, harakati hizo kuhusisha Waislamu hakutamfanya moja kwa moja a-jump into conclusion kwamba hayo wanayafanya for religious interest! Mtu makini atatafakari kwa makini ili afahamu base ya wahusika hasa ni nini! Kama atagundua ya kwamba base ya wahusika wanalalamikia utawala mbovu uliopo madarakani basi hata kama wahusika wote walikuwa ni Masheikh na Maimam peke yake, katu hawezi kuita madai hayo ni ya kidini!! Na kama mtu ataendelea kuyaita ni madai ya kidini kwavile tu wanaohusika na madai hayo ni Masheikh na Maimam, basi moja kwa moja itatoa ishara ya namna gani mtoa hoja asivyo makini! Wewe, angalau kwa hili ume-prove ni namna gani usivyo makini!

Narudia, kuchoma makanisa na kuua mapadri peke yake sio ushahidi tosha kwamba hayo yanafanyika for religious interests! Ikumbukwe kwamba ni Unguja huko huko ambako Imam wa Msikiti nae alimwagiwa tindikali kati kati ya sintofahamu za Uamsho!!
 
May I outline a couple of reasons which leads me to consider Kikwete & his CCM government are liable and complicit to the religious intolerance now conspiring to tear this nation into many a part:-

1.0
WHERE DID KIKWETE GO WRONG ON RELIGIOUS HARMONY?

a) Over-ambition did it all!

The real costs of this nation accommodating JK's quest to presidency is beginning to be felt across the entire national spectrum. In 2005, Kikwete made it a personal crusade that led to his election as our president which though was anybody's constitutional right, the path that he chose roused, facilitated and precipitated religious frictions never experienced before!

Part of his strategy was to remind his fellow Muslims that it was their turn to eat as Christians had eaten through Mkapa's presidency! What Kikwete forgot was that fanning religious insecurity as a tool to acquire power was a double-edged sword: It benefited him then but now Kikwete had unleashed a monster that is threatening even his presidency. On religious conflicts, many Tanzanians prefer to bury their heads on the sand hypocritically claiming to be above the shore but in reality they are part and parcel of the crisis, and it is only when they are personally victimized that they begin to moan about insecurity!

In 2010, faced with a mammoth challenge from Dr. Slaa, a Christian, Kikwete exploited
"udini" to evade confronting gargantuan policy implementation failures on his part. I am still patiently waiting for Kikwete to dilate to the nation what was all about this "udini" beyond scaring voters and balkanizing the nation along religious fissures!

Huwa mara nyingi kila nikijitahidi huo UDINI na Uislamu wa Ustaadh Jakaya Mrisho Kikwete wala siuoni!! Hata hivyo, hii kwako si mara moja na wala haitakuwa mwisho kwako kumtuhumu JK na udini. Labda utaacha pale tu JK atakapoondoka madarakani.....mbaya zaidi, ataondoka madarakani na suala la udini ataliacha na taliacha kwavile amelikuta! Hii maana yake ni nini; ni kwamba uchambuzi wako hauegemei kutafuta chanzo halisi cha udini Tanzania bali unaegemea ku-attack baadhi ya watu au jamii fulani!

Rutashubanyuma,
Pamoja na kwamba nakukubali nawe ni miongoni mwa watu wenye uelewa mkubwa lakini uelewa wako mara nyingi unakuwa ZERO unapojaribu kujadili chochote ambacho ndani yake utahusisha na masuala ya dini! Kwa makusudi unajitia upofu na kutoona ni namna gani JK alikuwa na nguvu 2005 na badala yake unataka kushawishi watu kwamba JK alichanganya udini! Hakuna asiyefahamu jinsi JK ambavyo alipigana hadi mwisho kwenye uchaguzi wa 1995 ambao hatimae Mkapa alipewa bendera ya CCM! NI nani asiyefahamu neno MIZENGWE lilipata umaarufu zaidi kwenye uchaguzi wa 1995?! Neno hili lilipata umaarufu zaidi 1995 kwavile ni dhahiri Mwalimu Nyerere alipigana kufa na kupona kuhakikisha Mkapa anapeperusha bendera ya CCM!! Kupigana huku kwa Mwalimu Nyerere ndiko watu walikupachika jina la MIZENGWE! Pamoja na MIZENGWE yote ambayo Nyerere aliifanya, lakini bado JK alifika hadi mwisho! At the end of story, Mkapa akapewa bendera ya CCM na pale aliposhinda Urais, Mkapa akamteua JK kuwa Minister of Foreign Affairs!

Kama kawaida yetu, wachambuzi wa mambo wakaita kitendo cha Mkapa kumpa Uwaziri wa Nje JK ilikuwa ni kumwandaa kwa Urais! Wengi wanaamini kwamba, ukiwa mambo ya nje, basi unakuwa exempted na local scandals!! And honestly, hadi 2005 inafika, JK alikuwa the same JK ambae alikuwa so tough kama alivyokuwa 1995! Mpinzani pekee na wa ukweli ambae labda JK angemsumbua ni Edward Lowassa! Hata hivyo, sifahamu JK alimdanganya nini Lowassa hata Lowassa asigombee ingawaje inawezekana kwavile walikuwa marafiki basi walishajadili kwa makini na kugundua ni nani alikuwa na nguvu zaidi kati yao! Kwani, kwa umoja wao, tishio alikuwa ni SAS!

So, from 1995, it's was just a matter of time kwa JK kuingia Ikulu coz' hata hiyo 1995 ni kwavile tu alinyang'anywa tonge mdomoni! Na good enough, from 1995, JK alijitahidi sana kujiweka nje ya kashfa za kisiasa huku aki-make good use of medias!

So, madai kwamba JK alipita NEC ya CCM kwa ajili ya dini yake ni madai ya kipuuzi na yasiyo na mashiko yoyote! Na kwamba eti ili kuwavuta Wazanzibar ambao waliona zamu ni yao na hivyo kuamua badala ya kutumia dhana ya zamu ya ZNZ ikatumika ni zamu ya Waislamu nayo ni madai yasiyo na maana yoyote! Ni madai yasiyo na maana coz' Kwa Wazanzibar, linapokuja suala la kisiasa basi kwao ni Zanzibar kwanza na mengine baadae! Katu Wazanzibar hawawezi kuuweka rehani Uzanzbari wao kisiasa kwa ajili ya M*kwele Mwislamu wa Bara! Kitu pekee ambacho Wazanzibar kinaweza kuwafanya waiweke rehani nafasi yao kisiasa huku bara ni pale linapokuja suala la u-ASP na u-HIZBU! Na hili ndilo ambalo mara kwa mara limekuwa kikwako kwa SAS ingawaje baadhi ya watu wanataka kutuaminisha kwamba SAS alichafuliwa na JK! Wale wanaojiita wanapinduzi kule ZNZ bado hawataki kuona masalia ya HIZBU(like Salim A. Salim) yakitawala!
 

b) Kikwete presidential appointments tilted in favour of his fellow Muslims!

JK considered there were religious injustices inflicted against Muslim by both colonial and post-colonial governments; and ensuing from this, he perceives himself as burdened with redress onus. From this cockeyed attitude, JK has skewed his presidential appointments in favour of his fellow Muslims compromising meritocracy in the process. JK feels that education system and access to government largesse have all been recruited to leave Muslims behind and he has to deploy at least government senior jobs to address the coined imbalances!

In central committee of ccm, number of Christians representation has continue to dwindle rendering it almost impossible for his successor to be a Christian! There are no mechanisms in place in the election of ccm central committee membership to ensure the demographic realities are being captured there. Under-representation of Christians is deliberate to ensure policy directions are geared towards their marginalization despite being the majority in the nation. The Augusta House; to much consolation and relief, captures demographic realities on the ground.

Because JK has shown less sensitivity towards the assault of Christians when on podiums, radical Islam has erroneously intepreted the state is on their side and have been more audacious and vocal to claim what is in many ways unconstitutional rights.


Ni aibu sana kwa mtu ambae anaonekana ni msomi kuja na madai ya hovyo kama haya! Rutashubanyuma, kwa hakika unajidhalilisha mbele ya macho ya wale wenye uelewa na wasiotaka kusukumwa na personal interests! Unaweza kutoa mfano wa Mtu mmoja ambae alimteua in favor of his religion? Na ukishamtaja huyo mtu, utaje post yake na qualification za muhusika ili tujiridhishe kwamba huyo mtu si kwamba aliteuliwa kutokana na uwezo wake bali aliteuliwa kutokana na dini yake!

Tatizo ninaloliona kwako ni lile lile walilonalo Wakristo wengi wa aina yako!! Nyinyi, mlishazoea tangu zama Uhuru kuona taasisi na nafasi nyingi nyeti zinashikiliwa na Wakristo na mkazani kwamba hiyo ilikuwa ni haki yenu nyinyi! Matokeo yake, leo hii mkisikia fulani mwenye jina la Kiislamu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi au Katibu Mkuu au so and so, mnaingia nongwa! Mnaingia nongwa bila kujali huyo mtu ana sifa au hapana lakini mnaingia nongwa kwavile tu muhusika aliyeteuliwa ana jina la Kiislamu! NI aibu.....mawazo ya hovyo kama haya nilitarajia yatoke kwa wamenya viazi vya chips na sio kwa mtu kama wewe ambae unaonekana kwamba ni miongoni mwa wasomi wa nchi hii!

Madai kwamba JK anafanya njama za kupunguza Wakristo kwenye Central Committee ya CCM ni madai mengine yanayovua nguo na kukuacha mtupu mchana kweupe mbele ya macho ya wenye uelewa! Kwamba, anapunguza Wakristo CC ili kuhakikisha 2015 ni Mwislamu tena ndiye anabaki madarakani.....!! Hii inadhihirisha wazi kuwa kumbe endapo Wakristo wangekuwa wengi basi CCM ingesimamisha Mkristo...!!! Hii ni aibu kwa chama chako kuliko kwa JK.

By the way, unaweza kutuwekea hayo majina ya CC ya CCM? Hofu yangu ni kwamba, unashindwa kutumia japo kiasi kidogo tu cha akili yako ili kuangalia ni kwanini teuzi ambazo zinahusisha pande mbili za muungano huwa zinaelekea kuwa na Waislamu wengi kuliko Wakristo! Demographic ya ZNZ ni Waislamu abt 99% hususani kwenye siasa! So, unapoteua watu kutoka ZNZ, basi uwezekano mkubwa ni kwamba even 100% watakuwa ni Waislamu tu....so, ukija kuchanganya na wale watakaoteuliwa Bara, hata kama utaweka 50% Muslim, 50% Christians, NET result ni lazima Waislamu watakuwa wengi kuliko Christinians coz' net result itakuwa affected na ZNZ population! Na ukweli ni kwamba, hata kama utateua idadi ndogo ya Muslim huku Bara kuliko Christians, bado NET result lazima itakuwa affected unless kama ratio ya ZNZ:Bara katika teuzi husika is not 1:1. Hili limeonekana hata kwenye Wajumbe wa Kamati ya Katiba, kwamba ingawaje bara wajumbe wengi ni Christians kuliko Muslim, NET result ikaonekana kwamba wajumbe wengi ni Waislamu kuliko Wakristo kwavile tayari net result ilishakuwa affected na ZNZ! Na matokeo yake, wapenda UDINI kama nyinyi, wakaanza kulalamika bila kutumia akili ya kawaida ku-analyse the situation! Wakati ule, mliwakilishwa na Mzee Edwin Mtei!
 

c) Institutionalization of Mahakama za kadhi!

Under Mwinyi; a Muslim, there was no clamouring of Mahakama za kadhi but because of JK's personal intiatives, this is now a national carthasis ready to burst at any moment something a presidential statement to the contrary was sufficient to quell that improper quest for an islamic government.
Mwasisi wa Mahakama ya Kadhi hapa nchini ni Mrema.....mbona huyu hamkuomuona kwamba ni mdini? NI aibu kuhusisha Mahakama ya Kadhi na Islamic Government! Kuna nchi kibao ambazo zina Mahakama ya Kadhi kwa muda mrefu sasa na wala sio serikali za Kiislamu! Mahakama za Kadh zinatumia just a small portion za Sharia Law ingawaje wapotoshaji mnataka kuwaaminisha watu kwamba Mahakama za Kadh is all about kukata watu mikono!!
 

e) Overlooking the incompetence of the IGP Saidi Mwema!

When a juniour police officer was elevated to IGP post from Interpol in Nairobi, some of us had doubts but politicians hailed the appointment as keen to root our criminality but now time has proved skeptics to be on the right side of history.

Where forensic science is now a leading technological breakthrough in criminal investigations, IGP Mwema still rely on coerced hearsay, tampering of evidence and witnesses to run the police force! It is of little wonder why no progress is ever recorded to arrest and punish those who are hiring assassins to create havoc and insecurity atmosphere around us.

In comparison to Kenya, our police force remains the least professionalized, under-equipped, under-resourced and unfit to do the job they are being paid for. You will be surprised to learn Kenyan politicians; on campaign trail, still talk of furthering their police reforms to the betterment while we keep on cavorting with underachievers!

With the state house connections IGP Mwema has, one had expected him to have done more than less but it is incompetence well captured by his growing obesity demonstrates better. When he was at Interpol he was trimmed and flaunted a lanky figure ready for police work but now he has sired a pot-belly sending a wrong signal for the whole police force he runs. All over the world, police force is known for discipline and physical exercise, but here overweight seems to be one of the mediocre qualifications one needs to have and survive in the police force!
Hapa ndipo ulipotoa picha yako halisi kwamba analysis zako zime-base ama kwenye personal hatred au kitu kingine kinachofanana na hicho! Yaani Saidi Mwema alikuwa Junior Police Officer wakati anateuliwa kuwa IGP?! Unatia aibu mkuu wangu!

The guy kule Nairobi alikuwa Head Of Sub-Region of Interpol. So, how come mtu aliyeaminiwa kuongoza Kanda hii ya Interpol awe ni Junior Police Officer? By the way, kabla hajaenda Interpol, Saidi Mwema alikuwa Assistant Commissioner of Police! So, how come Assistant Commissioner of Police um-brand kwamba ni Junior Police Officer? Weledi wako uko wapi hapo? Na kwa kuzingatia vyeo vya kipolisi, ranking from hapo ni: Assistant Commissioner of Police(ACP), Senior Assistant Commissioner of Police(SACP), Deputy Commissioner of Police!! PRACTICALLY, hapo ndio mwisho! So, kinachotokea ni kwamba, ikiwa mtu inatakiwa kuteuliwa kuwa IGP, anapandishwa kwanza cheo na kuwa Police Commissioner(CP) kisha anapewa madaraka yake kama IGP!
 

f) Money launderers, drug barons and Islamic radicals have formed an axis of evil.

Though we have painstakingly patched up money laundering laws but enforcement has been the weakest link there. Laundered money is now being used to pay up hired assassins now terrorizing prelates in Zanzibar and nudging Muslims elsewhere to use violent disobedience as a tool to secure a better religious deal for themselves. Now we see even criminal suspects like Sheikh Ponda do enjoy popular support among Muslims despite being linked with terrorist organizations such as Al-Shabab!

In a summary, Kikwete ought to end his vacation of doling out an intemperate greenlight to his fellow muslims and take them to task, and salvage whatever is left of our national unity.

g) Surrounding himself with questionable characters.

Those who are being mentioned adversely in national scams seem to have encapsulated and regimented themselves with State house and CCM as their last standing fortress! Kikwete ought to know better that evil company corrupts even good manners.

We still need to know what had happened to the lists of drug barons and criminal suspects Kikwete had collated with his sidekicks if we are to take him serious enough as a committed leader to end a culture of impunity now threatening to drive a wedge among us!
Ingawaje title yako ime-include hadi drugs trafficking, lakini kwenye maelezo yako hukutaka kugusia hata chembe kuhusu drugs trafficking simply because linahusu both religious communities. Badala yake ukaamua kuzungumzia sana suala la Money Laundering na terrorism kwa ile tu kutaka ku-connects dots btn terrorism+money laundering with muslim community,

Hata hivyo, niseme wazi kwamba nina mashaka kweli una ufahamu wa kutosha kuhusu Money Laundering(ML). Hili, nitakuja kulieleza baadae !!!
 

Why did I state the above? If you guys remember in 2005 there was a lot of noise that it was the turn for a person for Zanzibar to be president. Kikwete happens to be Muslim but not Zanzibari. Since the man who was to be his predecessor was a Christian, the mtandao group figured the best way is to kill the "its a Zanzibaris turn" notion with a "its a Muslim's tun" notion but in order to do so they had to get rid of the thread of a viable Zanzibari muslim candidate and we all know the character assassination of Salim Ahmed Salim that took place.
Niseme wazi kwamba hujazifahamu vizuri siasa za ZNZ......yaani Mzanzibari aue nafasi ya Uzanzibari wake kwa ajili ya Uislamu wa mtu wa Bara?! You missed the point somewhere!! Kwa Mzanzibari, mtu wa bara ni wa bara na katu hawezi kuuza Uzanzibari wake simply because huyu wa bara ni Mwislamu mwenzake!! Kitu ambacho kilimwangusha Salimu Ahmed Salimu wala sio hicho unachotaka kutuaminisha....!!! Kilichomuanginisha SAS ni Political History ya Zanzibar.....hapa tunazungumzia ASP VS HIZBU!! Hadi sasa, wanazi wa ASP ambao wenyewe wanajiita wanamapinduzi wanamuona SAS kama Mwarabu wa HIZBU. Na hawa ndio ambao hadi leo wanasambaza propaganda dhidi ya CUF kwamba wana lengo la ku kurudisha utawala wa Sultan. Wanazi hawa hadi leo hawapo tayari kumuona SAS akishika uongozi, uwe upande wa bara au visiwani!! Na kama utakumbuka, back 2005 ilikuwa ni kipindi ambacho wanaojiita wana-mapinduzi walikuwa wameshika kasi sana Zanzibar.....!! Kwahiyo ni uongo mtupu kudai kwamba ambacho kilimwangusha SAS ni character assassination kutoka kwa wana-mtandao!! Hata kama kulikuwa na character assassination kutoka kwa wana-mtandao, bado assassination hiyo ilkuwa na madhara madogo sana kwa SAS ukizingatia madhara ya Wazanzibari wenyewe waliyokuwa nayo dhidi ya SAS! Na hii, Wazanzibari hawakuhitaji kuambiwa na yeyote kwani ndivyo wanavyoamini huku hadi leo wakiendelea kuamini kuwa ni SAS huyu huyu ambae ndie alihusika katika mauaji ya Mzee Karume!!
 

2010:

Let as look at who posed the greatest threat to JK's ambitions in 2010, it was Dr. W. Slaa. W. Slaa happens to be a former member of the clergy. Thus what was the strategy this time, to paint Chadema as a Christian party and Dr. W. Slaa as a former clergy with a religious agenda. Sadly but true, most of our Muslim brothers and sisters are more sensitive to religious matters than are Christians and they took it to heart that Chadema was a Christian party and that those who opposed JK only did so out of spite for Islam "udini". If memories serve you all well it was CCM and not any other party which was trumpeting "udini".
Tuanze hapo kwenye RED, is General Election RELIGIOUS MATTER?!
Labda tu nikuambie wazi kwamba bado kabisa hujaifahamu Muslim Population.....kabisa!! Frankly speaking, ni rahisi kushawishi Wakristo kufanya maamuzi kwa kuangalia dini kuliko kufanya hivyo kwa Waislamu! Unajua kwanini?
1. Wakristo ni hodari sana katika ufanyaji ibada, hususani ile ya kusali...!! Ibada ya Sala inakusanya waumini wengi wakati mmoja!! Unfortunately, Waislamu sio wazuri katika ibada za sala! Ibada pekee ambayo inafanywa na Waislamu kwa wingi ni FUNGA!! Ingawaje ibada zote ni sawa, lakini ibada ya SALA inasisitizwa sana.....sasa unatarajia vipi mtu ambae hata ibada hafanyi akawa sensitive na Religious Issues? Nyinyi mnatishika na hawa wafuasi wachache ambao mara kwa mara wamekuwa wakifanya hata maandamano!! Ukiangalia kwa makini, utagundua hiyo ni sehemu ndogo sana ambao wengi wao ni wale walio against BAKWATA! Hawa walio against BAKWATA ni wale ambao angalau dini wanaifuatilia na wengi wao unakuta ni wafuasi wa taasisi zingine za Kiislamu, hususani zile zenye mwelekeo wa akina Sheikh Ponda!!
Majority of Muslims wala hawana muda hata wa kufahamu ni nani anaongoza BAKWATA!! Lakini ajabu zaidi, hawa ambao wala muda hawana, kwa upande mwingine wanachukizwa na vitendo vinavyofanywa na Wanaharakati wa Kiislamu!!
Hawa walio against BAKWATA, ni kweli wana tabia ya kuwatii viongozi wao; narudia, viongozi wao na sio viongozi wa serikali!! By the way, hawa wengi wao wapo against na serikali ya CCM! Kwahiyo JK hana ubavu wa kuwashawishi hawa watu hata siku moja!!Kwa hawa majority of muslmis, umuhimu wa BAKWATA unakuja wakati ule tu wa kutangaza kuonekana kwa Mwezi Mtukufu na ule wa kusherehekea Iddy! Waislamu hawa, hata kama atasimama Mufti akasema chagueni CCM, ni wchache sana ambao wataitikia wito wake! Hata viongozi wa BAKWATA wenyewe wanafahamu kwamba hawana sauti kwa wale wanaowaongoza! Kama ingekuwa Waislamu wako sensitive kiasi hicho basi leo hii CUF ingekuwa na majimbo kibao pwani! INgawaje propaganda za udini dhidi ya CUF zilikuwepo zaidi 2005 kuliko sasa, lakini bado CUF hawakuweza kuchukua kiti chochote cha ubunge mikoa ya pwani; ukiondoa Dar es salaam ambayo haina mwenyewe!! CUF ni Chama cha Waislamu(according to propaganda za CCM ambazo CUF nao walizipenda) na JK ni Mwislamu.....sasa kwanini Waislamu wasiichague CUF ambacho ni chama kwa niaba wao na badala yake waamue kumchagua tu Mwislamu ikiwa unaamini kwamba Waislamu ni rahisi kushikiwa akili kiasi hicho?!

2010 CUF wamechukua viti viwili Lindi....ni rahisi mtu kuamini kwamba ni kwavile LIndi kuna Waislamu wengi...!! MTu atajiuliza, 2005 hao Waislamu Lindi hawakuwepo?! Hata hivyo, kwa mtu ambae aliziona jitihada za Lipumba 2010 mikoa ya Kusini katu hawezi kuhusisha ushindi huo ulichangiwa na dini ya watu wa Lindi! Lipumba alipiga kambi kwa siku kadhaa mikoa ya kusini, wakati watu kama CHADEMA walitumia just few hours kwa mikoa yote!! Na kama kweli CUF walibebwa na Uislamu wa Lindi, basi wangepata viti vya ubunge hata Tanga!!!
 

My advice to our Muslim brothers and sisters in Tanzania is for them to sit down and think and to not let themselves be used as political tokens. No Christian has a problem with a Muslim holding power or else JK would have never won the presidency to begin with.
HALAFU wasomi wa JF ni wasomi ha ajabu sana!!! Mbona wakati zinaenezwa propaganda kwamba CUF ni chama cha Waislamu hamjawahi kusema kwamba Wakristo wanatumiwa lakini ikisemwa CHADEMA ni chama cha Wakristo; basi Waislamu hapo wanatumiwa!!! Yaani mnataka kuwaona Waislamu hawana akili, au?! Hivi unaposema CUF ni chama cha Waislamu maana yake ni nini? Si kwamba wale wasio Waislamu wakiogope?! MBona hamsemi kwamba nao wanatumiwa?! Au ndo unataka kutuaminisha Wakristo wana akili sana kwahiyo hata ikisemwa kwamba CUF ni chama cha Waislamu bado watatumia akili zao na kubaini kwamba sio kweli?! Kama ndivyo, mikoa ambayo majority ni Wakristo mbona CUF huko haikubaliki?! Nini tafsiri yake kama sio nao wanaamini ya kwamba CUF ni chama cha Waislamu?! Mbona hao huoni kwamba wanatumiwa na badala yake unaona wanaotumiwa ni wale tu ambao wanaambiwa CHADEMA ni Chama cha Wakristo?! Acha unazi......kama ni kutumika, wote Wakristo na Waislamu wanatumika na wamekuwa affected na propaganda za CCM! Wakristo wengi wanaamini kwamba CUF ni chama cha Waislamu!! Pamoja na kwamba umetaka uchambuzi wako uonekane ni wa kisomi, lakini uko completely biased na wala sitashangaa nikigundua kwamba nawe ni miongoni mwa wale wanaoamini kwamba Waislamu hawajasoma, elimu ya ni ya Madrasa na kwamba unaweza kuwatumia utakavyo!!
 

Let as look at who posed the greatest threat to JK's ambitions in 2010, it was Dr. W. Slaa. W. Slaa happens to be a former member of the clergy. Thus what was the strategy this time, to paint Chadema as a Christian party and Dr. W. Slaa as a former clergy with a religious agenda. Sadly but true, most of our Muslim brothers and sisters are more sensitive to religious matters than are Christians and they took it to heart that Chadema was a Christian party and that those who opposed JK only did so out of spite for Islam "udini". If memories serve you all well it was CCM and not any other party which was trumpeting "udini".

Waingereza wana msemo wao, A BLACK CAT MAY BE ABAD LUCKY ONLY IF YOU ARE A MOUSE! Kumbukumbu zangu zinanionesha kwamba, kauliambayo mara kwa mara JK alikuwa anaitoa wakati wa uchaguzi wa 2010 ni hii hapa:"Watanzania, msiwachague WATU WANAOTUMIA DINI KUTAKA KUINGIAMADARAKANI" Mwisho wa kunukuu! Sasa kwanini mnaamini kauli hii ilikuwainamaanisha MSIICHAGUE CHADEMA KV NI CHAMA CHA WAKRISTO?! Kwanini tusiaminiwalikuwa wanaizungumzia CUF pia? Why ONLY CHADEMA? A Black Cat May Be A BadLuck Only If You're a Mouse! Kama CHADEMA is not a Mouse, yanini kuingiwa nataharuki inaposikia kuna a Black Cat around?! HIvi ni nani asiyefahamu kwambaWakristo na Waislamu TZ kwa nafasi mbalimbali walikuwa wanatumia UDINI kuombakura hata majimboni? Ulitaka Rais wa nchi asilikemee hili simply becauseitakuwa ni kama kuhusisha chama fulani cha upinzani?! Au ndo bado unatakakuniaminisha kwamba Wakristo wako very intelligent na propaganda kama hizohazikuwa na nafasi huko makanisani?! Kama kweli tunaipenda nchi yetu, tuacheunafiki.....!!! Propaganda zilikuwa zinafanyika Misikitini na Makanisani!KUkataa ukweli huu ni sawa na kukataa ukweli kwamba si Jua ndilo linazungukabali ni Dunia ndiyo inalizunguka jua! A black cat may be a bad luck only ifyou're mouse!!! CHADEMA wala hawakuwa na sababu za kuona kauli ya JK ilikuwainawalenga wao...!!! Tatizo walilonalo CHADEMA ni kujishtukia....kila bayalikisemwa, hata kama hawajatajwa, wanaamini wanatajwa wao! Wakati wa Uchaguziule, Abdulrahman Shimbo alipata kuita Media na kutangaza kwamba watapambanavikali na wote watakaotishia amani...!! Kwa maajabu ya Musa, CHADEMA wakaja juuutafikiri wanaambiwa wao au utafikiri chama cha upinzani wapo peke yao...hapandipo watu tunapokuja kupata shaka na kuiangalia kwa makini kauli ya Waingerezakwamba, A Black Cat May Be A Bad Lucky Only If You're Mouse!! Ya nini kutokanduki kisa tu umemuona paka wakati wewe si panya?!


 
Back
Top Bottom