Tanzania will soon surpass Kenya.

Tanzania will soon surpass Kenya.

Hua nafurahia uandishi wako wa kiswahili sana,no mkenya unaeijua vyema lugha adhimu ya kiswahili!!
Maisha yanabadilika sana kaka cha muhimu ni kila mmoja wetu aitumie fursa inayomzunguka vizuri...hii ya Kenya kuizidi TZ haimaanishi kitu sana kama bado mtakua hamna mali...tupambane sana tutafika
I mean ni mkenya sio no mkenya....
 
Hua nafurahia uandishi wako wa kiswahili sana,no mkenya unaeijua vyema lugha adhimu ya kiswahili!!
Maisha yanabadilika sana kaka cha muhimu ni kila mmoja wetu aitumie fursa inayomzunguka vizuri...hii ya Kenya kuizidi TZ haimaanishi kitu sana kama bado mtakua hamna mali...tupambane sana tutafika

Hehehe! Haina noma bro, humu huwa tunatiririka ili kuondoa presha za kazi na pia kuchochea fikira za wadau... Lakini huku nje maisha ni yale yale, WaTz na Wakenya tunashirikiana kwenye kubingirisha hili gurudumu la maisha.....
 
According to the notion of our good neighbours from the south, Tanzania are on their way to becoming the giant of East Africa. They claim their GDP is growing at the rate of 7% while that of Kenya is growing at 4.4% but there is no evidences or signs to support their argument, the gap keeps on increasing. In 2017 Kenya had 74bln while Tz had 52bln, that was a gap of 22bln. In 2018 Kenya is having a GDP of 86bln while Tz is at 56 bln, the gap is 30bln. So my question is if Tz economy is growing at afaster rate than that of Kenya, then why is the gap keeps on increasing? As you can see Kenya has reduced the gap between them and Ethiopia( 80bln Vs 74bln in 2017 and 87bln Vs 86bln in 2018).View attachment 975260
kenya uchumi wao mkubwa wa mkopo. Miradi yote mikubwa inafadhiliwa na mchina siku sio nyingi tutasikia mchina anataka mashirika ya uma ya kenya!
 
That's the exchange rate GDP.
Tanzania's shilling dropped in value by 50% in 2015. Had it stayed at 1500/1USD, THE STORY WOULD DEFINATELY BE DIFFERENT.
However, the decline in our exchange rate doesn't mean that the price of goods and services has increased by 50%. It doesn't mean that rice is 50% more expensive than it as in early 2015. Matter of fact, the price of staple foods has dropped.
The import bill is stable and exports value is still the same (suprise,suprise).

That's why, our economies can be better compared using PPP. many UN Organizations use PPP GDP such as UNDP, UNIDO, ILO etc.. and if you use GDP by PPP Tanzania has a higher GDP than Kenya.

1. EGYPT
2. NIGERIA
3. SOUTH AFRICA
4. ALGERIA
5. MOROCCO
6. ETHIOPIA
7. SUDAN
8. ANGOLA
9. TANZANIA
10. KENYA

Source: World Bank (2017).
Waambie!
 
According to the notion of our good neighbours from the south, Tanzania are on their way to becoming the giant of East Africa. They claim their GDP is growing at the rate of 7% while that of Kenya is growing at 4.4% but there is no evidences or signs to support their argument, the gap keeps on increasing. In 2017 Kenya had 74bln while Tz had 52bln, that was a gap of 22bln. In 2018 Kenya is having a GDP of 86bln while Tz is at 56 bln, the gap is 30bln. So my question is if Tz economy is growing at afaster rate than that of Kenya, then why is the gap keeps on increasing? As you can see Kenya has reduced the gap between them and Ethiopia( 80bln Vs 74bln in 2017 and 87bln Vs 86bln in 2018).View attachment 975260

Hata miji hauna unaandaa ugaidi mzee

Kivutio kikubwa duniani ni miji iliyopangwa na kujengwa kwa ufasaha (na siyo wanyama na milima). Kuna jitihada mbalimbali zimefanyika na mipango jiji la DAR ES SALAAM/ZANZIBAR ili kuhakikisha inakuwa kama Dubai lakini tukaambulia kuwa na majengo ya ovyo na kujenga nyumba ndogo ili ipo siku tutabomoa na kujenga Gorofa ambapo kwa uhalisia/kiasi kikubwa tunapoteza sumenti nyingi/mchanga mwingi/Gypsum/mapati (steel), kutokuwa na mifumo ya majitaka/maji safi, kusababisha foleni/uchawi n.k.

Aidha, hali hii inajidhihilisha kwenye majiji yote ya Tanzania (ikiwemo mbeya, Iringa, Arusha) kwa kuwa na vyoo kibao kila nyumba, barabara zisizo tengenezeka wakati tunaweza kutumia zege na kuwa na balabala njema kabisa. Kwa hali inavyokwenda tutafika miaka 100 tukiwa na dreams za kwenda kuangalia miji mizuri na iliyopagwa tutakaposafiri kuelekea ulaya/dubai/china. Bila kujiuliza ilijengwaje?

Kama ukijiuliza hili swali ndipo utakapo jua kuna haja ya watanzania kutenga miezi miwili (happy month) kwa kila mwaka kwa ajili ya watu kufanya mazoezi ya kujenga miji ambayo itahakikisha ramani ya mipango inatekelezwa kikamilifu. Ambapo, Serikali inatenga fungu/fedha za kujenga miji (labda kama mafundi wanataka kuchezea tope milele maana nyumba hazina lifespan) na kila mtu anajua kuwa Serikali haifirisiki kwani ipo vizuri kuzungusha fedha kwa njia ya kodi na tozo na viwanja ni vya Serikali.

Maisha ni mipango miji.
 
Back
Top Bottom