Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
SIKU chache baada ya Tanzania kunyakua tuzo za kimataifa za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, imepata tuzo nyingine mpya ya kimataifa iliyotokana na kuwa na teknolojia bora duniani.
Tuzo hiyo ambayo Tanzania imepata, inafahamika kama Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora inayoibuka Serikalini (Winner of the Best Government Emerging Technologies Award).
https://www.worldgovernmentsummit.o...ssions/world-government-summit-award-ceremony
My Take: Tutaelewana tu mambo yanazidi kunoga. Kenya haimo.
Tanzania yapata tuzo ya teknolojia
Tuzo hiyo ambayo Tanzania imepata, inafahamika kama Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora inayoibuka Serikalini (Winner of the Best Government Emerging Technologies Award).
https://www.worldgovernmentsummit.o...ssions/world-government-summit-award-ceremony
My Take: Tutaelewana tu mambo yanazidi kunoga. Kenya haimo.
Tanzania yapata tuzo ya teknolojia