Tanzania Winner of the Best Government Emerging Technologies Award

Tanzania Winner of the Best Government Emerging Technologies Award

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
SIKU chache baada ya Tanzania kunyakua tuzo za kimataifa za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, imepata tuzo nyingine mpya ya kimataifa iliyotokana na kuwa na teknolojia bora duniani.

Tuzo hiyo ambayo Tanzania imepata, inafahamika kama Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora inayoibuka Serikalini (Winner of the Best Government Emerging Technologies Award).

upload_2018-2-16_8-51-3.png


https://www.worldgovernmentsummit.o...ssions/world-government-summit-award-ceremony

My Take: Tutaelewana tu mambo yanazidi kunoga. Kenya haimo.
Tanzania yapata tuzo ya teknolojia
 
huwaga wanasema wao ndyo E.A sillicon valley!! mimi nikawa najiuliza hvi Kibera ndyo iwe E.A sillicon valley kweli [emoji16] Leo nimepata jibu it aint shit...
 
Mimi ni mtanzania, ila huu upuuzi wa tuzo uchwara na za kupika ndio unatufanya tuendelee kuwa maskini!!

Kwanza hizo tuzo za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, je tanzania kuna utawala bora toka lini? uchumi upi??

Na hiyo tuzo ya emergine technology sijui, ina uhalisia gani??

Mbona tunadanganyana??
 
SIKU chache baada ya Tanzania kunyakua tuzo za kimataifa za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, imepata tuzo nyingine mpya ya kimataifa iliyotokana na kuwa na teknolojia bora duniani.

Tuzo hiyo ambayo Tanzania imepata, inafahamika kama Tuzo za Kilele cha Serikali duniani (World Government Summit Awards) katika kundi la Tuzo ya Teknolojia bora inayoibuka Serikalini (Winner of the Best Government Emerging Technologies Award).

View attachment 696280

https://www.worldgovernmentsummit.o...ssions/world-government-summit-award-ceremony

My Take: Tutaelewana tu mambo yanazidi kunoga. Kenya haimo.
Tanzania yapata tuzo ya teknolojia

The 25 poorest countries in the world
 
Mimi ni mtanzania, ila huu upuuzi wa tuzo uchwara na za kupika ndio unatufanya tuendelee kuwa maskini!!

Kwanza hizo tuzo za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, je tanzania kuna utawala bora toka lini? uchumi upi??

Na hiyo tuzo ya emergine technology sijui, ina uhalisia gani??

Mbona tunadanganyana??

meza wembe basi.
ahaaa haaa haaa
 
Mimi ni mtanzania, ila huu upuuzi wa tuzo uchwara na za kupika ndio unatufanya tuendelee kuwa maskini!!

Kwanza hizo tuzo za Uchumi Jumuishi na Utawala Bora, je tanzania kuna utawala bora toka lini? uchumi upi??

Na hiyo tuzo ya emergine technology sijui, ina uhalisia gani??

Mbona tunadanganyana??
Ignorance imekujaa...jielimishe
 
I know you didn't go to school.. Maths failed u
View attachment 696420 View attachment 696421
Mbona hilo ni gazeti la kwenu ndilo lililochapisha hiyo habari, hiyo ni report ya reserch iliyofanyika nchi nyingi za Africa, soma ili upate kujua kwanini imeandikwa hivyo, acha kukariri GDP, reserch za uchumi hazitizami GDP, zinatizama individual income, wakeup nyang'au from hangover of GDP.
 
Back
Top Bottom