chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Jf,haimsaidii huyu.shenziAcha ubaguzi, fanya kazi ili uongeze thamani yako katika jamii. Hivi unataka kulinganisha mchango wa MO, au Bakhresa katika uchumi wa nchi hii na mtu gani mwengine,?, hilo hulioni umeona rangi pekee?.
Nimeona sehemu flani hivi wakisema kwamba ametekwa nyara kwa sababu za kisiasa. Jirani zetu wawe makini sana, wamtafute huyu jamaa kabla wambea waanze kuwachafulia jina.Hivi huyu Mo hajapatikana? Mbona nilisoma uzi fulani ukisema amepatikana, jameni mtu wa watu muachieni.
Nimeona sehemu flani hivi wakisema kwamba ametekwa nyara kwa sababu za kisiasa. Jirani zetu wawe makini sana, wamtafute huyu jamaa kabla wambea waanze kuwachafulia jina.
Kwa taarifa yako mo ni wanasiasa kwa zaida ya miaka 20 na mbunge kwa zaidi ya miaka 15Ina maana alikua amejiingiza kwenye siasa. Pole zake maana duh..
Alifaa kukaa mbali na siasa kama alivyofanya Bakhresa.
Kwa taarifa yako mo ni wanasiasa kwa zaida ya miaka 20 na mbunge kwa zaidi ya miaka 15
Bilionea lazima akitekwa iwe news awe mweusi au mweupe.Swali ni kwamba Mwafrika mweusi angetekwa India/ Pakistani, Je, nchi nzima ya India /Pakistani wangekosa usingizi?
Ni dhambi kwa Mungu kuthamini binadamu wa ,,race“ nyingine kuliko unavyothamini yako wakati yeye anakuona kama takataka!