Uchaguzi 2020 Tanzania ya baada ya Uchaguzi: Taifa lililogawanyika

WHY SHOULD YOU HELP ONE MAN IN HIS EVIL ENDEAVOR, AT THE EXPENSE OF THE WHOLE NATION, ARE YOU THAT SHORT SIGHTED AND CHEAP?


Ni njaa na ubinafsi wa watu waliopo madarakani, isitoshe wanapalikia vibarua vyao kwa kutii maagizo haramu kutoka "JUU".

Hakuna uzalendo.

ONES HEART LIES ON WHERE HIS TREASURE IS.
 
Wasaliti na beti zao, hatuna nafasi ya mabeberu. Nchi imenyonywa sana. Tuna hitaji mbegu mpya ya upinzani
 
Ule mpango wa kubadili katiba ili apate muda kuendelea kuongoza unaelekea kwenda kutekelezwa. Japo alionyesha kutokuupenda
 
Teh teh teh teh. Mnatia huruma Sana, naona mnaanza kujipa maneno ya matumaini, teh teh teh!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikumbuka ushabiki wa mleta mada kwa Membe napata tabu kweli..
 
Umegawanyika mwenyewe sisi Watanzania tumeungana na tuna ari ya MAENDELEO lakini pia tunavipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri na waendelee na kazi hiyo kuanzia kesho mpaka siku isiyo na kikomo.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Subiri hii kitu, utaleta mrejesho hapa tukiwa hai
 
Si unaelewa lakini hizi tabiri hazina maana yoyote!? Unatabiri tu halafu tunacomment ila ukienda ofisi za uma mzee yupo pale ukutani.
 
Ule mpango wa kubadili katiba ili apate muda kuendelea kuongoza unaelekea kwenda kutekelezwa. Japo alionyesha kutokuupenda
Alionyesha kutopenda kwa sababu ya afya yake siyo nzuri hata huu mhula wa pili kuumaliza lazima ana wasiwasi huenda akaishia njiani. Katika hali hiyo asingefanya aliyofanya katika Uchaguzi huu kulazimisha ushindi kwa mbinu chafu angeacha taratibu zichukue mkondo wake akishindwa arudi kijijini kwa heshima akangoje siku yake badala ya kuingoja imkute Ikulu. Akiweza kumaliza miaka 5 ya mhula huu kuna uwezekano mkubwa atabadili Katiba agombee mhula mwingine afie madarakani akitumia mbinu zilezile potelea mbali. Anapenda kuongoza angawa hana uwezo!
 
Hahaha limegawanyikia wapi?!

Mbona mnazusha, nchi hii igawanyike kumetokea nini kipya, tetemeko?!

Huyo alikuwepo, na atakuwepo milele, na nchi hii itaendelea kuwepo vile vile na haitagawanyika.
 

Jiwe mpango wa kusalia madarakani ni dhahiri alikuwa nao ila ni kweli hajiamini afya yake kama itamruhusu ndiyo maana anatone down hilo suala, lakini machinery nzima ya kumtengenezea njia ili atawale zaidi ya miaka kumi ameifungulia njia full force
 
Mnapiga ramli lkn hamna baya litakalo tokea.Ila kama unakumbukumbu nzuri mgawanyiko ulinzia hapa 2015πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

2020 upinzani ukakosa maana.
 
Ukiwasoma humu waweza kufikiri Watanzania wote wanaipinga serikali iliyopo, mitaani ni tofauti kubwa mno na kizungumzwacho humu,

Watu wanaendelea na maisha kama kawaida, ukisema haya unaambiwa unaishi kwa shemeji yako!

Sijajua haya yanatoka wapi, sasa hivi kila mtu ni mtaalamu wa siasa, mtu wa takwimu, uchumi, sayansi ya jamii nk.
 
Hahahahahahah

Safari hii hamuendi Ccj kudai ushindi wenu kama 2015?
Foolish clever at your best! Unapewa uchambuzi ya yanayotarajiwa kutokea baadaye nchini kwako unaingiza uzwazwa! Uzuri ni kuwa mabaya yanayotarajiwa yatamgusa kila mmoja aliyemo ndani ya mipaka ya nchi na Hali hiyo haitambagua yeyote!
Na tangu lini ccj ikahusika na Mambo ya kisiasa? Au hujui ulisemalo? Ccj no mahakama ya kibiashara ya kimataifa!
 
Huenda mtaa uliofanyia utafiti ni masaki peninsula na Ile ya Chamwino Ikulu! Ila ukiingia huku uswahilini watu wamenuna na Wana hasira Sana! Leo tu shabiki wa CCM kawaletea za kuleta wanazengo kijiwe Fulani kaambulia manundu ya kutosha! Amshukuru kijana wa bodaboda kamuokoa kwani wanazengo walitaka kumtia moto!
 

Naona hoja namba 5 wameanza nayo tayari kwa kurekebisha vitambulisho vya wamachinga kwa kupanga kuviewekea picha, na ahadi ya kuboresha maslahi ya watumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…