Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Pamoja na kubwabwaja maneno meeeengi hata sijaona point hapo tofauti na kumsifia Samia mara viva mara kahuna kama Samia nk. Eleza faida ya hii tour kidunia na Mimi maana yake na mpaka sasa imefikia wapi na je matunda yake niyapi?

Sio Siri umedadavua Sana ufaransa na Brazil lakini nchi yako imekushinda.

Huna point.
Daaah, Kweli nchi hii ni ngumu kwelikweli
 
IMG-20220204-WA0044.jpg
 
Utalii wa wanyama ni sehemu ndogo sana ya utalii mkuu km ulikua ujui france inaongoza kwa idadi kubwa ya watarii dunian sababu ya paris watu weng hutembelea paris kwa mwaka kulko wanaotembeleq bara zima la Africa kwa mwaka

Dubai amejenga majumba mazuri na sehemu nzuri za kufanya biashara na anapata watalii weng sana kwa mwaka

Marekani watalii hutembelea New york
United Kingdom watu hutembelea kwa weng kuangalia majumba ya kihistoria na kuona familia ya kifalme
Utalii wa wanyama na ivyo vivutio vingne ulivyotaja upo ila sio mkubwa km utalii wa majengo, historia

Brazil niya kwanza dunian kwa idadi ya vivutio ila niya 22 kwa idadi ya watalii nazan utakua umeelewa

Ttzo letu Wabongo tunazaniga kla ktu ni deal leo Tanzania kla mkoa kuna ifadhi au mbuga za wanyama wakat ayo maendeo wangepewa wakulima au wawekezaji wakajenga viwanda vingekuza sana uchumi wa nchi kulko kung’ang’ania wanyama wakt binadam hatuna sehemu za kuliwa wala kuishi
Dunian kuna kitu kinaitwa Zoo watu weng huangalia wanyama zoo ila akitaka kuona maeneo yao asili ndo huja Africa but watu weng sana dunian hutembelea Zuu(Zoo) kuliko wanaotembelea Mbuga za wanyama
 
Utalii wa wanyama ni sehemu ndogo sana ya utalii mkuu km ulikua ujui france inaongoza kwa idadi kubwa ya watarii dunian sababu ya paris watu weng hutembelea paris kwa mwaka kulko wanaotembeleq bara zima la Africa kwa mwaka

Dubai amejenga majumba mazuri na sehemu nzuri za kufanya biashara na anapata watalii weng sana kwa mwaka

Marekani watalii hutembelea New york
United Kingdom watu hutembelea kwa weng kuangalia majumba ya kihistoria na kuona familia ya kifalme
Utalii wa wanyama na ivyo vivutio vingne ulivyotaja upo ila sio mkubwa km utalii wa majengo, historia

Brazil niya kwanza dunian kwa idadi ya vivutio ila niya 22 kwa idadi ya watalii nazan utakua umeelewa

Ttzo letu Wabongo tunazaniga kla ktu ni deal leo Tanzania kla mkoa kuna ifadhi au mbuga za wanyama wakat ayo maendeo wangepewa wakulima au wawekezaji wakajenga viwanda vingekuza sana uchumi wa nchi kulko kung’ang’ania wanyama wakt binadam hatuna sehemu za kuliwa wala kuishi
Dunian kuna kitu kinaitwa Zoo watu weng huangalia wanyama zoo ila akitaka kuona maeneo yao asili ndo huja Africa but watu weng sana dunian hutembelea Zuu(Zoo) kuliko wanaotembelea Mbuga za wanyama
Umeandika jambo zuri sana aise,
 
Katiba tu inatushinda hadi tunatiana jela, hili la kuvutia watalii ndio tutaliweza?

Nchi watu hatupendani tumekuwa kama kijii cha wachawi.

Mungu wa bariki Tanzania.
Tanzania inahitaji toba ili kurudisha upendo na mshikamano aliutuachia Mwalimu.
Kutiana jela ni mazoea uliyotoka nayo huku nje! Magerza hahusiki....kwa nini usishtaki kwa mnyapara?......unafurahia tuuu! Miaka yote....
 
Daaah, Kweli nchi hii ni ngumu kwelikweli
wewe ndo mgumu....nani akuletee hela kiubwete ivo? Eti utalii mweee? Wkt mnawatukana kila uchao eti ni wakoloni?wanyonyaji..mabeberu wala watumwa....utalii fanyeni weusi wenyewe huko....wakupeni hela mle mshibe halafu muwageuke??? Hamuaminiki Duniani nyie weusi!....nini ambacho hawana huko kwao?....tena wana chukua hapo kwenu dakika sifuri.
.twiga anapanda bombadier na daktari wake pembeni...masaa mawili tu tayari anatua earthrow....anapekekwa hospitali safi ya wanyama... Anapata tiba ambayo utakufa bila kuipata...... Sasa Mkoloni aje hapo kwenye majani yenye mbung'o...siasa chafu za ki magufuli... anaumwa akili au??? hata km ni wewe..utakubali huo ujinga? Yaani mkiona mkoloni tu mnapanua midomo tayari kumeza chochote anachotoa....mnawatisha....Hao wanyama mtakula wenyewe tu!! au muhamasishe ndgu zenu weusi ...lkn je? wanazo hela?? Lkn kwa mkoloni mnajisumbua tu. Ana kila kitu yule...labda nyie ndo mwende....
Hao weupe wanao kuja ni kuangalia tu maeneo yao ya madini...yaliyo buniwa na babu zao wakoloni zama zileee km bado hayaja guswa na mtu....baaasi !!!! nyie mnashangilia km majuha tu eti utaliii!!! ..mleta mada...... .tatizo elimu za shule za kata ndo haya?? Usinune ndo mlivyo.... Au laaa basi ndo nyie wa division zero?? Kamwe Msitujazie nzi humu jf bana!! Nenda majukwaa mengine huko kwa wenye akili km zako ndo ukweli...na ukweli utakuweka huru.... Bado mnatamani mnae mtukana kila leo..aina aina ya mitusi...eti aje akupe hela zake umtukane tena vizuri....na hkn sehemu mliyowaomba samahani kwa matusi yenu na wala hamjawahi kuwaza ivo!!!....hata km ni wewe utaufanya huo utalii?? Kwa amani?? Hata wakija humo kwenu hamuwaamini......
 
wewe ndo mgumu....nani akuletee hela kiubwete ivo? Eti utalii mweee? Wkt mnawatukana kila uchao eti ni wakoloni?wanyonyaji..mabeberu wala watumwa....utalii fanyeni weusi wenyewe huko....wakupeni hela mle mshibe halafu muwageuke??? Hamuaminiki Duniani nyie weusi!....nini ambacho hawana huko kwao?....tena wana chukua hapo kwenu dakika sifuri.
.twiga anapanda bombadier na daktari wake pembeni...masaa mawili tu tayari anatua earthrow....anapekekwa hospitali safi ya wanyama... Anapata tiba ambayo utakufa bila kuipata...... Sasa Mkoloni aje hapo kwenye majani yenye mbung'o...siasa chafu za ki magufuli... anaumwa akili au??? hata km ni wewe..utakubali huo ujinga? Yaani mkiona mkoloni tu mnapanua midomo tayari kumeza chochote anachotoa....mnawatisha....Hao wanyama mtakula wenyewe tu!! au muhamasishe ndgu zenu weusi ...lkn je? wanazo hela?? Lkn kwa mkoloni mnajisumbua tu. Ana kila kitu yule...labda nyie ndo mwende....
Hao weupe wanao kuja ni kuangalia tu maeneo yao ya madini...yaliyo buniwa na babu zao wakoloni zama zileee km bado hayaja guswa na mtu....baaasi !!!! nyie mnashangilia km majuha tu eti utaliii!!! ..mleta mada...... .tatizo elimu za shule za kata ndo haya?? Usinune ndo mlivyo.... Au laaa basi ndo nyie wa division zero?? Kamwe Msitujazie nzi humu jf bana!! Nenda majukwaa mengine huko kwa wenye akili km zako ndo ukweli...na ukweli utakuweka huru.... Bado mnatamani mnae mtukana kila leo..aina aina ya mitusi...eti aje akupe hela zake umtukane tena vizuri....na hkn sehemu mliyowaomba samahani kwa matusi yenu na wala hamjawahi kuwaza ivo!!!....hata km ni wewe utaufanya huo utalii?? Kwa amani?? Hata wakija humo kwenu hamuwaamini......
Nyaru-sare umetema nyongo ila umeonesha "Usiasa " zaidi kuliko uhalisia
 
Nafikiri mleta mada anasumbuliwa na kasumba ya kukariri mambo, anafikiri utalii kwa asilimia kubwa ni watu kusafiri kwenda kuona vitu kama wanyama, maporomoko nk.

Wapo wanaopenda kusafiri kwenda kupiga tu stori na watu wa mataifa mengine na kwa taarifa yako hao ndio wengi.

Sasa kwa nchi ambazo wakisoma kwenye mitandao mbalimbali wanakuta kwamba uhuru wa kujumuika na kujieleza ni kama haupo au ni mdogo wanakuwa hawana sababu ya kutembelea nchi sampuli hizo na ndio akina Tanzania.

Wenzetu ni watu wanapenda sana mifumo inayozingatia haki na sheria sasa wanaposoma mitandaoni wanakuta mara watu wanapigwa risasi na wengine mara manabambikiwa makesi ya kipumbavu wanaona nchi kama hiyo sio ya kuichangia kiuchumi bora waende kwingine kwenye utu.

Kumbuka kwamba kwa utandawazi uliopo sasa hivi humu duniani hivyo vivutio unavyovipigia kelele humu tayari wanavijua kupitia kwenye mitandao na sio lazima vitangazwe.
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Nzuri sana
 
Nafikiri mleta mada anasumbuliwa na kasumba ya kukariri mambo, anafikiri utalii kwa asilimia kubwa ni watu kusafiri kwenda kuona vitu kama wanyama, maporomoko nk.

Wapo wanaopenda kusafiri kwenda kupiga tu stori na watu wa mataifa mengine na kwa taarifa yako hao ndio wengi.

Sasa kwa nchi ambazo wakisoma kwenye mitandao mbalimbali wanakuta kwamba uhuru wa kujumuika na kujieleza ni kama haupo au ni mdogo wanakuwa hawana sababu ya kutembelea nchi sampuli hizo na ndio akina Tanzania.

Wenzetu ni watu wanapenda sana mifumo inayozingatia haki na sheria sasa wanaposoma mitandaoni wanakuta mara watu wanapigwa risasi na wengine mara manabambikiwa makesi ya kipumbavu wanaona nchi kama hiyo sio ya kuichangia kiuchumi bora waende kwingine kwenye utu.

Kumbuka kwamba kwa utandawazi uliopo sasa hivi humu duniani hivyo vivutio unavyovipigia kelele humu tayari wanavijua kupitia kwenye mitandao na sio lazima vitangazwe.
Noted
 
Nafikiri mleta mada anasumbuliwa na kasumba ya kukariri mambo, anafikiri utalii kwa asilimia kubwa ni watu kusafiri kwenda kuona vitu kama wanyama, maporomoko nk.

Wapo wanaopenda kusafiri kwenda kupiga tu stori na watu wa mataifa mengine na kwa taarifa yako hao ndio wengi.

Sasa kwa nchi ambazo wakisoma kwenye mitandao mbalimbali wanakuta kwamba uhuru wa kujumuika na kujieleza ni kama haupo au ni mdogo wanakuwa hawana sababu ya kutembelea nchi sampuli hizo na ndio akina Tanzania.

Wenzetu ni watu wanapenda sana mifumo inayozingatia haki na sheria sasa wanaposoma mitandaoni wanakuta mara watu wanapigwa risasi na wengine mara manabambikiwa makesi ya kipumbavu wanaona nchi kama hiyo sio ya kuichangia kiuchumi bora waende kwingine kwenye utu.

Kumbuka kwamba kwa utandawazi uliopo sasa hivi humu duniani hivyo vivutio unavyovipigia kelele humu tayari wanavijua kupitia kwenye mitandao na sio lazima vitangazwe.
Hoja yako ni sawaa ila sio kweli
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Safi Tanzania
 
Back
Top Bottom