Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

Utalii wa wanyama ni sehemu ndogo sana ya utalii mkuu km ulikua ujui france inaongoza kwa idadi kubwa ya watarii dunian sababu ya paris watu weng hutembelea paris kwa mwaka kulko wanaotembeleq bara zima la Africa kwa mwaka

Dubai amejenga majumba mazuri na sehemu nzuri za kufanya biashara na anapata watalii weng sana kwa mwaka

Marekani watalii hutembelea New york
United Kingdom watu hutembelea kwa weng kuangalia majumba ya kihistoria na kuona familia ya kifalme
Utalii wa wanyama na ivyo vivutio vingne ulivyotaja upo ila sio mkubwa km utalii wa majengo, historia

Brazil niya kwanza dunian kwa idadi ya vivutio ila niya 22 kwa idadi ya watalii nazan utakua umeelewa

Ttzo letu Wabongo tunazaniga kla ktu ni deal leo Tanzania kla mkoa kuna ifadhi au mbuga za wanyama wakat ayo maendeo wangepewa wakulima au wawekezaji wakajenga viwanda vingekuza sana uchumi wa nchi kulko kung’ang’ania wanyama wakt binadam hatuna sehemu za kuliwa wala kuishi
Dunian kuna kitu kinaitwa Zoo watu weng huangalia wanyama zoo ila akitaka kuona maeneo yao asili ndo huja Africa but watu weng sana dunian hutembelea Zuu(Zoo) kuliko wanaotembelea Mbuga za wanyama
Daaah
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Umesema meeeengi lakini umeyasema kiushabiki zaidi. Hata Raisi angekaa huko ulaya mwaka mzima akitangaza utalii pasipo kurekebisha haya haitasaidia kitu.

1. Salama wa watalii. Unakumbuka watalii wamekuwa wakivamiwa na kunyang'anywa mali zao na hata kuuawa.

2. Huduma bora kwa watalii hili nao ni tatizo

Hizo ndiyo sababu za kwa nini watalii wanakuwa wachache kuzuru Tanzania. Kwani kwa usasa tuliyonao kila tulichonacho kinaonekana Katka mitandao ya kijamii.
 
Umesema meeeengi lakini umeyasema kiushabiki zaidi. Hata Raisi angekaa huko ulaya mwaka mzima akitangaza utalii pasipo kurekebisha haya haitasaidia kitu.

1. Salama wa watalii. Unakumbuka watalii wamekuwa wakivamiwa na kunyang'anywa mali zao na hata kuuawa.

2. Huduma bora kwa watalii hili nao ni tatizo

Hizo ndiyo sababu za kwa nini watalii wanakuwa wachache kuzuru Tanzania. Kwani kwa usasa tuliyonao kila tulichonacho kinaonekana Katka mitandao ya kijamii.
Niwapi watalii wameuawa mkuu wangu,
 
Niwapi watalii wameuawa mkuu wangu,
Hifadhi ya SERENGETI watalii walishauawa mkuu. Katika hifadhi ya SERENGETI eneo la meatu mwaka 2018 ilitunguliwa helicopter na akauawa matlin. Pia miaka ya 2000 mwaka halisi siukumbuki hifadhi hiyo hiyo waliuawa wtalii na kunyang'anwa mali zao wakati wakienda hotel moja inaitwa SOPA lodge. Vile vile kumbuka watalii wengi wamevamiwa na kunyang'anwa mali zao katika fukwe za dsm na znz
 
Hifadhi ya SERENGETI watalii walishauawa mkuu. Katika hifadhi ya SERENGETI eneo la meatu mwaka 2018 ilitunguliwa helicopter na akauawa matlin. Pia miaka ya 2000 mwaka halisi siukumbuki hifadhi hiyo hiyo waliuawa wtalii na kunyang'anwa mali zao wakati wakienda hotel moja inaitwa SOPA lodge. Vile vile kumbuka watalii wengi wamevamiwa na kunyang'anwa mali zao katika fukwe za dsm na znz
Mtalii gani anatumia helkopta,

Ile kesi ya akina Njile na Dotto Mimi naijua vizuri wewe unapotosha sana,
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Mwaka wa Mama,
 
Hifadhi ya SERENGETI watalii walishauawa mkuu. Katika hifadhi ya SERENGETI eneo la meatu mwaka 2018 ilitunguliwa helicopter na akauawa matlin. Pia miaka ya 2000 mwaka halisi siukumbuki hifadhi hiyo hiyo waliuawa wtalii na kunyang'anwa mali zao wakati wakienda hotel moja inaitwa SOPA lodge. Vile vile kumbuka watalii wengi wamevamiwa na kunyang'anwa mali zao katika fukwe za dsm na znz
Yule hakuwa mtalii mkuu, Nenda gereza la Bariadi kawaulize Wale vijana watakwambia kila kitu
 
Andiko hili

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Asante kwa andiko hili, mwandishi
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
CM 1774858 hii ni akili kubwa mno,
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Ni jambo jema kutangaza vivutio vyetu, ila tukumbuke umaskini ni kikwazo kwa vivutio vyetu. Ukaskini ni fedheha kwa ubinadamu. Watalii/wazungu wanakwreka na hali duni za maisha zinazowakumba wanaozunguka vivutio vyetu. Inakuwa kama wazungu wanakuja kuwakebehi maskini (kimsingi hwavutiwi na umaskini)

Pamoja na kutangaza vivutio, tuweke mikakati madhubuti ya kuondoa umaskini katika maeneo yetu ya vivutio vya utalii.
 
Haya ndiyo matatizo ya nchi yetu, kwa sasa tumegeukia Utalii kama njia ya kunyenyua uchumi wetu baada ya viwanda kushindikana.

Kila awamu na priority yake, hapa ndipo tunapokwamia - hatuna mwendelezo wa hizi awamu unaosimamiwa na sheria.
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Tatizo Tanzania inakosa Demokrasia hivyo lazima Ufaransa watalii wawe wengi hata bila ya kuwa na twiga au simba kwa sababu kwao kila mtu ni muhimu tofauti na sisi matabaka matabaka,viongozi wengi kuwa wezi na kukanyagia haki za raia.
 

Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata ||​

||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu,​

===
Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na " Royal Tour. " Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili.

Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Ni watali 6.5m tu ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka.

Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha US$97.11BL karibu TZS 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utalii.

Kwamsiofahamu fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo bila Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo hapa namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.

Je, tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa kuwa na Vivutio vingi vya asili duniani, Yaani Kwanini Wao!!?

Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani huenda heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 2m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Minara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,

Tujiulize, kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. "

Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Versailles Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,

Pesa hii itakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwa njia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,

Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania. " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali kwa mwaka wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania, inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film "

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,

Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata, Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,

Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili kwa makini,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Je mna demokrasia au mna uccm ccm tu.
 
Back
Top Bottom