Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Na sisi ambao hatukua na madem kipindi icho cha shule, sijui itakuaje🤣.Huo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.
Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.
Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo huna mkwanja!..𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚖𝚜𝚒𝚌𝚑𝚊𝚗𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚢𝚎𝚖𝚐𝚞𝚜𝚊 𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚝𝚞 𝚠𝚊𝚔e..
𝐌𝐟𝐚𝐭𝐢𝐥𝐢𝐞 𝐏𝐚𝐩𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐢𝐝𝐨 𝐈𝐧𝐬𝐭𝐞𝐫𝐠𝐫𝐚𝐦 𝐚𝐮 𝐓𝐢𝐤𝐭𝐨𝐤, 𝐧𝐚𝐝𝐡𝐚𝐧𝐢 𝐮𝐭𝐚𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚Ukiona hivyo huna mkwanja!
Ukiwa serious sanaa na wanawake utakuja kuoa, wale wa dudu wanachanganya hawasomeki, cha muhimu ni kuishi nao kimalengo tu, akizingua jifanya humtaki na tafuta tena mgine, usiongope kuachana na demu wa kitanzania utaumia ni pasua kichwa.Wadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.
Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”
Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.
Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.
Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.
Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.
Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.
Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.
Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
hata huko kijijin wana watu wao piaHuo ni uzembe wake ambao umetokana na kutokutumia muda vizuri na kusoma alama za nyakati.
Mke anapatikana kipindi cha kutafuta elimu aidha Msingi, Sekondari au Vyuoni hao wengine mnaokutana baada ya kuajiriwa sio mke ni mshikadau ambae mmekutana kufanya maisha ni kama business partner na sio mke.
Mwambie arudi kijijini kwao akaoe hatopata mke anayemtaka mjini sababu waliopo wote wanawatu au walikuwa na watu wao.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kila kitu aisee😂🤣😂 madem zao mnawalea vipi yani.
Achaneni na betting na kulelewa ... Mstari mkaliii😂😂Actually wakaka na vijana ndio walishaisha kabisa
Hawajielewi tena
Wanatupa tabu sana wazee… maana tunalea mama zao, mashangazi zao…. Na sasa mademu zao
Inachosha
Vijana amkeni…. Undeni vikundi vya kupeana stadi z maisha na ujana
Achaneni na betting na kulelewa
NakaziaWadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.
Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”
Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.
Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.
Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.
Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.
Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.
Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.
Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?
Kijana kattaaaaa ndoa kwa ajili ya afya ya akili yako kataaa kabisa kataaa ndoa na mapenzi ni utapeliWadau salama, kuna jambo moja naona linazidi kuwa gumzo mitaani, awali nilijua labda ni mtaani kwetu tu lakini naona asilimia kubwa ya wanaume wanalalamika kuhusu hili suala.
Nina rafiki yangu mmoja leo ametoka kunitumia sms analalamika kuhusu wadada, nakumbuka sentensi yake moja kaniambia “Madem wa siku hizi hawana akili, wengi wao ni warembo lakini kichwani ziro”
Huyu jamaa sasa hivi anaelekea miaka 40, hajaoa nah ana demu wa kueleweka, alichelewa kuoa kwa kuwa alikuwa bize na mishe za biashara na masomo, lakini huu ni mwaka wa tano kila demu anayempata ni pasua kichwa.
Nilishamshauri kuwa huwezi kupata dem ambaye yuko perfect kwa kila kitu, hilo analijua lakini hata anaposhirikisha wenzake ambao hawajaoa au wengine ambao wameoa, matukio wanayomuelezea anakata tamaa ya kufunga ndoa.
Moja ya jambo analolalamikia ni kuwa wadada wengi kwanza hawana uwelewa wa kuwa na future, wanachowaza ni ku spend leo na hawajui kesho yao ipoje, wengine wao ni kuomba hela tu, wengine kukosa uaminifu.
Hiyo pointi ya mwisho ndiyo inamchosha zaidi, anasema anashuhudia wanawake wengi wake za watu wakiwa wanagongwa nje ya ndoa, wengi wao wanagongwa na ma ex wao, wengine wanagonjwa na masala wa mtaani tu.
Hilo jambo kiukweli hata mimi naliona na kuna muda naona kama tunakoelekea itafika hatua wanaume wataacha kuoa na watakuwa wakizalisha tu kisha wanalea watoto.
Kwa mwanaume yeyote uchungu mkubwa mkubwa mkubwa kuliko wote ni kugongewa mke au kubambikiwa mtoto, kwa sasa hio ndiyo michongo mingi.
Nisaidieni jamani, ni kweli asilimia kubwa ya wadada wa sasa hasa wale wa umri wa miaka 18 hadi 32 wengi wao ni PASUA KICHWA?